Rafed English
site.site_name : Rafed English

Myahudi Wa Kimataifa by : Imamullah Khan

 

Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiingereza kiitwacho International Jew. Sisi tumekiita, Myahudi wa Kimataifa.

Kitabu hiki, Myahudi wa Kimataifa ni matokea ya tume iliyoundwa na Henry Ford wa Kwanza na kuchapishwa kwa mara ya kwanza baina ya miaka 1919-1920. Henry Ford I alikuwa mmoja wa wafanyabiashara wakubwa wa viwanda; yeye alikuwa na kiwanda chake maarufu sana kati­ka miaka ya 1900 kilichojulikana kwa jina la Ford Motor Company.

Mtasinia huyu alitishiwa na jinsi wahamiaji wa Kiyahudi walivyokuwa wakiendesha biashara na mambo yao kwa kuhodhi nchini Marekani na sehemu nyinginezo ulimwengu. Kwa hiyo, uzalendo ukamsukuma na akaamua kuunda tume ya wataalamu waliobobea katika shughuli za utafi­ti ili wafanye utafiti kuhusu shughuli za Wayahudi nchini Marekani na katika nchi za Magharibi, na matokeo ya utafiti wao ni kitabu hiki ulicho nacho mikononi mwako.

Sote tunajua uharibifu na ukaidi wa Wayahudi kuanzia wakati wa Nabii Musa (a.s.) mpaka sasa. Katika kitabu hiki utaona jinsi walivyopanga mbinu na mikakati ya kutawala kwa hila, mikakati ambayo waliipanga kabla na baada ya Vita Vikuu vya Kwanza vya Dunia, na ambayo wanaen­delea kuitekeleza mpaka sasa. Watafiti hawa waligundua mambo mengi ya uovu uliokuwa ukifanywa na Wayahudi.

Kwa kweli kitabu hiki ni kifumbua macho kwa wale wote ambao wanawaona Wayahudi kama taifa teule la Mungu. Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili ili kuwazindua wasomaji wetu wa Kiswahili kutokana na njama za Wazayuni.

Tunamshukuru ndugu yetu, Salman Shou kwa kukubali kukitarjumi kitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake.

Mchapishaji:

Al-Itrah Foundation
S. L. P. 19701
Dar-es-Salaam, Tanzania.
Ni dhahiri kabisa kwamba Henry Ford wa I alipochapisha matokeo ya tume aliyoiagiza kufanya uchunguzi wa kina kuhusu Myahudi wa Kimataifa mnamo mwaka 1919-20, hakuhamasishwa na maslahi binafsi. Kwa hakika alikuwa amekutana na mvuto wenye nguvu na uchoyo wa Wayahudi ambao ulikuwa unafanya kazi kwa polepole na umadhubuti kuharibu ‘Uchumi wa Marekani’ kwa ajili ya maslahi kamili ya jamii ya Wayahudi.

Hivyo, Bwana Ford alichochewa na hisia zake za uzalendo wa kimarekani na kuwatahadharisha raia wa Marekani wa wakati huo kuhusu hatari mbaya ambayo ilikuwa inanyemelea kuhujumu ustawi wa watu wa Marekani.

Matokeo ya tume yake yaliegemezwa kwenye mambo thabiti yasiyokanushika ambayo yaliogofya kwa zaidi ya miaka 70 iliyopita. Kuwa na uhakika, mshiko wa mvuto wa kinyonyaji wa Kiyahudi umekuwa unaongezeka nguvu zaidi na zaidi tangu wakati huo.

Hatari ya Wayahudi – sasa inaitwa Uzayuni – Si tu inatishia taifa moja. Kwa kweli, inaelekezwa kwa wanadamu wote, kwa lengo na matumaini ya kuanzisha – serikali yetu kuu – inayokusudiwa kuwakilisha ‘Watu wateule’ na ubora wao wa kimbari. Protokali za wazee walioelimika wa kizayuni zinasema wazi kabisa kwenye protokali yake ya 10. “Kumchakaza (kumchosha) kila mtu kwa njia ya mifarakano, uadui, ugomvi mkubwa wa makundi ya watu, njaa (ya kulazimishwa) chanjo za magonjwa, kupungukiwa hadi ambapo wasio Wayahudi hawataona njia nyingine yoyote ya kukimbilia isipokuwa kuomba fedha na mamlaka yetu.” Haya yamekuwa yanafanywa, na bado yanaendelea kufanywa kwa kweli kila mahali hapa duniani hususan sehemu ambazo wanaziita Ulimwengu wa Tatu.

Protokali ya 14 inasema: “Tutakapokuwa watawala tutafikiria kama jambo lisilopendeza, kuwepo kwa dini nyingine yoyote isipokuwa ile yetu.”

“Na kuwazuia wao (wasiokuwa Wayahudi) kufikiri kwa kutumia akili zao, halisi, tutaelekeza usikivu wao kwenye burudani, michezo, burudani za kupitisha muda, mpwitompwito na ikulu za watu.”

Hadi sasa haya yote yamekwishatekelezwa, hivyo kwamba Kanisa la Kikristo, ambalo lilikuwa likifikiria kumwangalia mwanamke mgeni kuwa tendo lililoharamishwa, sasa linaona ni halali kisheria kutoa mimba, ngono ya mwanamume kwa mwanamume, au wanadamu wa jinsia moja na hata kuwachagua wanawake kwa kazi ya uchungaji, kwa mujibu wa maandishi ya Kimarekani ya hivi karibuni.

Kwa hiyo, ni lazima kwamba watu wa mataifa yote ya dunia wanatakiwa watambue msiba wa kuteketeza wa kizayuni unaowaangukia. Hivyo, ICRO imeamua kuchapisha tena toleo lililofupishwa ambalo lilichapishwa mwaka 1970 na Umma Publication House Karachi, Pakistan, ambapo maelezo yameongezwa kwenye mambo fulani.

Tunayo matumaini kwamba tumeweza kuwasilisha huduma ya thamani kwa wale wote wapenda amani, wa dunia, hivyo kwamba wanaweza kuta­hadhari dhidi ya maadui wa jamii ya binadamu duniani pote.

Idara ya Tarjuma na uchapishaji
Taasisi ya Utamaduni wa Kiislamu na Uhusiano
Baada ya vita vya kwanza vya dunia Mmarekani mashuhuri mwenye viwanda Henry Ford alitambua uharibifu mkubwa ambao ni kiini macho kinachohemshwa na matajiri wakubwa wa kimataifa wa kiyahudi. Aliwaagiza watafiti wenye akili sana kufanya uchunguzi, uliokamilifu wa Myahudi wa Kimataifa na kuchapisha matokeo yao mwaka 1919-20 kwenye ‘Dearborn Independent,’ ambalo lilikuwa gazeti rasmi la Ford Motor Company. Kwanza makala zilichapishwa kwenye gazeti la The Dearborn Independent na pia baadaye zilichapishwa kama kitabu.

Kama kawaida, mvumo wa kuogofya ulitokeza kutoka kwa Wayahudi, ambao walifanya kampeni dhidi ya Ford. Hatimaye, kwa shinikizo, Bwana Ford aliacha kusambaza kitabu hicho, Wayahudi na marafiki zao walik­wenda kwenye maduka ya vitabu na wakanunua na kuharibu vitabu vyote vilivyoonekana. Wezi wa kisirisiri waliagizwa kutembelea maktaba na kuiba vitabu kutoka ndani ya maktaba. Hali hii iliifanya kitabu kiadimike sana na kisichoonekana hivyo kwamba kikawa kitu cha kukusanywa na wakusanya vitu.

Utafiti wa Bwana Ford ulionesha jinsi Wayahudi walivyokuwa wanaen­deleza mpango ulioelezewa kinagaubaga kwenye ‘Protokali za wazee wa kizayuni, walioelimika.’ Kuhusu Protokali, tarehe 17, Februari, 1921 Bwana Henry Ford alisema: “Tamko moja tu ambalo nitakuwa makini kufanya kuhusu Protokali ni kwamba zinaendana na yale yanayotokea…” zinaendana kabisa na hali ya dunia hadi wakati huu. Zinaendana nayo sasa. Alipoambiwa kwamba Wayahudi wanasema kwamba Protokali zilighushi­wa, Bwana Ford hakupoteza muda kuhoji hoja hiyo.

Yeye alisema tu: “Vyovyote vile zilivyo, zinaendana na yale yanayotokea sasa baada ya miaka zaidi ya sabini,” hizi zinazosingiziwa kuwa ‘Protokali zilizoghushi­wa’ bado zinaendana na yale yanayotokea sasa. Ushawishi wa kizayuni unaendelea kuongezeka marudufu hivyo kwamba muhimili wa sera ya ikulu ya Marekani ni maslahi ya Israeli badala ya watu wa Marekani (maelezo ya mchapishaji wa Kiingereza).

Kwenye kitabu chake kiitwacho ‘My life and work’ (Maisha yangu na kazi) kilichochapishwa 1922, Bwana Ford alitoa maelezo juu ya mfululizo wa makala zake za ‘Myahudi wa Kimataifa’ kwa maneno yafuatayo: “Wasomaji wa makala zetu kwa haraka sana wataona, kwamba hatuku­chochewa na chuki isiyokuwa na sababu isipokuwa inawezekana ni upen­deleo unaosababishwa na kanuni ambazo zimejenga ustaarabu wetu.”

Imechunguzwa mikondo fulani ya ushawishi katika nchi hii ambayo ilikuwa inasababisha ishara za uharibifu katika fasihi yetu, burudani yetu, na mwenendo wa kijamii, biashara ilikuwa inayumba kutoka kwenye hali yake ya zamani – marekebisho kamili ya kimantiki, kujiruhusu jumla jumla – hadi kuvuka viwango vya chini ni hali iliyoonekana kila mahali…Ukweli kwamba ushawishi wote huu unatokana na chanzo cha jamii moja ni jambo la kuzingatiwa…Kazi yetu haina kisingizio cha kusema neno la mwisho juu ya Myahudi nchini Marekani. Kazi hii inasema tu neno amba­lo linafafanua ushawishi wake uliopo katika nchi hii…

Watu wanapojifunza kutambua chanzo na namna ya ushawishi unaowazunguka upesi upesi, inatosha. Watu wa Marekani waelewe mara moja kwamba huu si mtenguko wa maadili wa kawaida lakini ni uchochezi unaofanywa kwa mahesabu ambao unatuumiza na wao wapo salama…Kazi hii ilifanywa bila malengo ya kibinafsi.

Ilipofika kiwango ambacho tunaamini kwamba watu wa Marekani wangeshika ufunguo, tuliacha ipumzike kwa wakati fulani.

Maadui zetu wanasema, kwamba tulianza kufanya kazi hii kwa ajili ya kulipa kisasi na kwamba tulisitisha kwa sababu ya hofu. Muda utaonesha kwamba wakosoaji wetu (wayahudi) wanachofanya ni kukwepa tu kwa sababu hawawezi kudiriki kutatua tati­zo kuu.

Bwana Gerald L. L. Smith, Mkurugenzi wa Taifa wa Vita vya msalaba vya Kikristo, aliyekuwa Los Angeles, California, Marekani, mwaka 1952 alichapisha toleo jipya la ‘Mayahudi wa Kimataifa’ katika mlolongo wa makala za Bwana Ford.

Nakala zake zilizochapishwa, pia zilinunuliwa na kuharibiwa na Wayahudi na hata toleo hili limeadimika sana sasa. Tunachapisha toleo lililofupishwa la makala za Bwana Ford kwa sababu Wayahudi wa Kimataifa na kundi lao la Kizayuni wamechukua nafasi kubwa sana, ambayo inaathiri amani ya dunia leo.

Tumekwishachapisha ‘Protokali za wazee wa kizayuni walioelimika.’

Tunayo furaha katika kuwakilisha maelezo haya juu ya Protokali kwa ajili ya kufikiriwa na kuchunguzwa na wapenda amani wote wa dunia.

Imamullah Khan,
Katibu Mkuu,
Moramar Al-Ala’m Al Islami (World Muslim Congress)
Karachi, Septemba, 1970
Protokali Ya Saba
“Tutatumia nguvu kuzilazimisha serikali za wasio Wayahudi kuchukua hatua ambazo zitatangaza mpango wetu uliotungwa kwa maana ambao tayari unakaribia lengo lake la ushindi kwa kukubali kuvumilia shinikizo la maoni ya umma yanayochochewa ambao kwa kweli umepangwa na sisi kwa msaada wa kile kiitwacho ‘Mamlaka makuu’ ya magazeti. Mamlaka hayo tayari yameangukia mikononi mwetu isipokuwa hitilafu chache ambazo si za kutiliwa maanani.”
Historia ya Wayahudi nchini Marekani imeanzia kwa Christopher Columbus tarehe 2, Agosti, 1492, zaidi ya Wayahudi 300,000 walifukuzwa kutoka Hispania na siku iliyofuata tarehe 3, Augosti, 1492, Columbus aliondoka kuelekea magharibi kwa njia ya bahari, akiwa amechukua kundi la wayahudi.

Hata hivyo, watu hawa hawakuwa wakimbizi, kwa mpango wa kitabiri wa safari baharini ulikwishaamsha huruma ya Wayahudi wenye ushawishi muda mrefu uliopita. Columbus mwenyewe anatuambia kwamba alishirikiana sana na Wayahudi.

Barua ya kwanza aliandika akielezea kwa kina uvumbuzi wake ilikuwa ni kwa ajili ya Mayahudi. Kwa kurudi, safari hiyo ya baharini iliyokuwa na matukio mengi ambayo yaliongeza elimu na utajiri kwa mwanadamu - nusu ya dunia nyingine - ilifanywa iwezekane na Wayahudi. Hadithi hii ya kufurahisha kwamba safari hii ya baharini iligharamiwa na vito vya thamani vya Malkia Isabella imepotea chini ya utafiti tulivu.

Walikuwepo Maramas watatu au ‘Wayahudi wa siri’ ambao walikuwa na ushawishi mkubwa kwenye mahakama ya Hispania. Luis de Sentagel, ambaye alikuwa mfanyabiashara muhimu wa Valencia na ambaye alikuwa mkulima wa kodi ya kifalme, ndugu yake, Gabriel Sanchez, ambaye alikuwa mhazini wa ufalme, na rafiki yao, msimamizi mkuu wa nyumba ya mfalme Juan Cabrero.

Watu hawa walifanyia kazi mfululizo dhana ya Malkia Isabella wakimwelezea kupungua sana kwa hazina ya ufalme na uwezekano wa Columbus kuvumbua dhahabu ya kubuniwa katika visiwa vya Indies, hadi Malkia alikuwa tayari kutoa vito vyake vya thamani kwa rahani ya kupata fedha. Lakini Santagel aliomba ruhusa ya kujikopesha fedha hizo, alifanya hivyo, alikopa ducats 17,000 (fedha ya Kihispania wakati huo) ambayo ilikuwa sawa na pauni za Uingereza, takriban 5,000 labda ni sawa na pauni 40,000 za leo.

Washirika wa Columbus katika safari hiyo ya bahari, walikuwa kama wayahudi watano hivi: Luis de Toires, Mkalimani, Mario, daktari mpasua­ji, Bernal, Daktari aliye bingwa, Alonzode la lalle, na Gabriel Sanchez. Luis de Toires ni mtu wa kwanza kugundua matumizi ya tumbaku, alilowea Cuba na anaweza kusemekana kuwa baba wa udhibiti wa Wayahudi wa biashara ya tumbaku kama ilivyo leo.

Wazee walezi wa Columbus, Luis de Santagel na Gabriel Sanchez, wali­pata upendeleo wa aina nyingi kwa ajili ya jukumu walilotekeleza katika kazi, lakini Columbus mwenyewe akawa mhanga wa njama iliyopangwa na Bernal, daktari wa meli, aliteswa kidhulma na alifungwa jela kama zawadi yake.

Tangu mwanzo huo, Wayahudi waliiona Marekani zaidi na zaidi kama shamba lenye matunda mengi na uhamiaji ulianza kwa nguvu sana kuelekea Amerika ya kusini, hususan Brazil.

Lakini kwa sababu ya kushiriki kijeshi katika kutokubaliana na watu wa Brazil na Wadachi, Wayahudi wa Brazil, waliona lazima wahame, jambo ambalo walifanya kwa kuelekea upande wa koloni la Wadachi ambalo leo ndio New York.

Peter Stuyvesant, aliyekuwa gavana wa Kidachi, hakuthibitisha kabisa juu ya Wayahudi kutoka miongoni mwa watu na aliwaamuru waondoke, laki­ni Wayahudi walikwishachukua tahadhari ya wazi kabisa kuhakikisha kupokewa kwao hata kama hawakukaribishwa, kwa sababu katika kubatil­isha agizo la Stuyvesant, wakurugenzi walitoa kama mojawapo ya sababu zao kwa Wayahudi kupokelewa, kiasi kikubwa cha mtaji ambacho wali­wekeza kwenye hisa za Kampuni.

Hata hivyo, walikatazwa kuingia kwenye kazi za serikali na kufungua maduka ya rejareja hali ambayo athari yake iliwaelekeza kuingia kwenye biashara ya kimataifa, ambamo baada ya kipindi kifupi walikuwa wanafanya yote isipokuwa ukiritimba kwa sababu ya viunganishi vyao vya Ulaya.

Hiki ni kielezo kimoja tu kati ya vile ambavyo vinaweza kutolewa kwa kuonesha uwezo wa Myahudi. Mkataze jambo moja ataendelea na lingine. Myahudi alipokatazwa kushughulika na nguo mpya, aliuza mitumba …huo ulikuwa mwanzo wa mpango wa biashara ya mitumba. Alipokatazwa kufanya biashara ya bidhaa, alifanya biashara ya takataka… Myahudi ni mwanzilishi wa biashara ya bidhaa zilizotumika hapa duniani, alikuwa mwanzilishi wa mfumo wa uokoaji, yeye aliona utajiri kwenye mabaki ya ustaarabu.

Aliwafundisha watu jinsi ya kutumia matambara yaliyochakaa, jinsi ya kusafisha manyoya yaliyochakaa, jinsi ya kutumia ugumu unaoota kwenye nyongo (gall-nut) na ngozi ya sungura. Kila mara amekuwa na hamu ya biashara ya manyoya ya wanyama, ambayo anaidhibiti sasa na kwake ni kwa sababu ya wingi wa ngozi za kawaida ambazo sasa zinapita chini ya majina ya biashara ya kuvutia kama manyoya yatokanayo kwenye asili iliyo bora.

Bila kujua, mzee Peter Stuyvensal aliwalazimisha Wayahudi kufanya New York kuwa bandari kuu ya Marekani na ijapokuwa Wayahudi walio wengi wa New York walikimbilia Philadelphia wakati wa mapinduzi ya Marekani, wengi wao walirudi New York haraka walipopata fursa, silika ilionesha kuwafanya watambue kwamba, New York ilikuwa ndio iwe pepo yao kuu ya kipato chao. Na ndivyo imethibitika.

New York ni kituo kikubwa cha Wayahudi wengi hapa duniani. Ni njia (lango kuu) ambapo wingi wa bidhaa za Marekani ziingiazo na zitokazo hutozwa kodi ya ushuru, na ambapo hususan biashara yote inayofanyika Marekani hulipa ushuru kwa mabwana wa fedha. Ardhi yenyewe haswa ya Jiji la New York ni miliki ya Wayahudi.

Si ajabu kwamba waandishi wa kiyahudi, wanapoona mafanikio yasiyopa­ta kutokea, ukuaji huu wa utajiri na uwezo usiodhibitiwa, hushangaza kwa shauku kubwa kwamba Marekani ni nchi ya ahadi iliyotabiriwa na Mitume, na New York kuwa ndio Jerusalemu Mpya. Wengine hata wamek­wenda mbali zaidi na kuvieleza vilele vya Rockies kama ‘Milima ya Sayuni,’ kama utajiri wa madini na wa pwani wa Wayahudi utafikiriwa.
Wayahudi Katika Biashara
Wakati wa George Washington walikuwepo takriban Wayahudi 4,000 nchi­ni Marekani, wengi miongoni mwao walikuwa wafanyabiashara wenye uwezo kifedha. Walipendelea upande wa Marekani na walisaidia makoloni yaliyokuwa yanafanya mapinduzi kwa kuyokopesha fedha wakati wa hatari. Katika muda wa miaka 50 ongezeko la kuonekana la wingi wa Wayahudi wa Marekani lilikuwa zaidi ya milioni tatu na laki tatu, (3,300,000). Leo hii hakuna mtu anayeweza kukisia kwa matumaini ya kuwa sahihi.

Kuorodhesha mikondo ya biashara inayodhibitiwa na Wayahudi wa Marekani imekuwa ni sawa na kugusa viwanda vilivyo muhimu sana vya Marekani-vile ambavyo kwa kweli ni vya muhimu, na vile ambavyo kwa tabia iliyoendekezwa vimefanywa vionekane muhimu. Biashara ya maonyesho ni ya Wayahudi pekee, michezo – kutengeneza, mipango ya kuweka nafasi ya mchezo, shughuli za uwanja wa maonyesho, zote zipo mikononi mwa Wayahudi. Hii hufikiriwa kwa ajili ya ukweli kwamba leo karibu katika kila bidhaa huweza kuonekana propaganda, wakati mwingine kwa dhahiri ni matangazo ya biashara, wakati mwingine ni maelekezo ya moja kwa moja ya kisiasa.

Viwanda vya picha za sinema, viwanda vya sukari, tumbaku, asilimia ham­sini au zaidi ya ufugaji nyama, zaidi ya asili mia sitini (60%) ya uten­genezaji viatu, sehemu kubwa ya biashara ya uuzaji wa vyombo vya muzi­ki, vito vya thamani, nafaka, pamba, mafuta, chuma cha pua, uandishi wa magazeti, usambazaji wa habari, biashara ya vilevi, biashara ya ukopesha­ji, na kutaja tu viwanda vyenye upeo wa kitaifa na kimataifa, zipo kwenye udhibiti wa Wayahudi nchini Marekani, ima Myahudi peke yake au kushirkiana na Wayahudi wengine walioko nga’mbo.

Watu wa Marekani wangestaajabu sana kama wangeona mkondo wa biashara unaomilikiwa na ‘Wafanya biashara wa Marekani’ ambao wanashikilia hadhi ya kibiashara nga’mbo. Walio wengi ni Wayahudi.

Hali hii inaweza kuonyesha uelewa fulani kuhusu ambapo ‘mbinu za biashara za kimarekani’ zinashikiliwa katika sehemu fulani za dunia. Ambapo jamii nyingi zinazotofautiana za watu zinaweza kufanya biashara chini ya jina la ‘Marekani’ na wakafanya kisheria, pia si ajabu kwamba Waamerika hawatambui baadhi ya maelezo ya mbinu za kimarekani ambazo huonekana kwenye magazeti ya nje endapo hadhi ya biashara ya Marekani imeshindwa, ni kwa sababu kitu fulani kisichokuwa mbinu za kimarekani kimetumiwa chini ya jina la Marekani.

Mifano ya ustawi wa Wayahudi nchini Marekani, ni mazungumzo ya kila siku, lakini ustawi, malipo ya haki ya kuona yajayo na utekelezaji, sio wa kushangaa. Pamoja na udhibiti haingewezekana muungano wowote kwa asiyekuwa Myahudi chini ya mazingira kama hayo kupata udhibiti ambao Wayahudi wameupata, kwa sababu eti kuna ukosefu wa sifa fulani za kufanya kazi kwa pamoja, njama fulani za madhumuni, na mshikamano mkubwa wa kijamii, ambao ni sifa ya Myahudi.

Inafahamika kwa asiyekuwa Myahudi kwamba mtu mwingine ni yule asiyekuwa Myahudi, ni karibu katika kila kitu kwa Myahudi kwamba mtu aliyeko mlangoni kwake ni Myahudi mwingine.

Mpango wa Kiyahudi wa Kimataifa kuondosha soko lao la fedha na kupeleka Marekani ni jambo ambalo watu wa Marekani hawakupenda. Historia imetutahadharisha kwamba hii maana yake ni nini. Imekuwa na maana kwa zamu kwamba Hispania, Venice, Ujerumani na Uingereza zilipokea lawama au kutiliwa shaka ya dunia kwa yale yaliyofanywa na mabepari wa kiyahudi. Ni fikira muhimu sana kwamba uadui mkubwa wa kitaifa uliopo sasa ulitokana na chuki dhidi ya yale ambayo uwezo wa kifedha wa Kiyahudi ulifanya chini ya maficho ya majina ya taifa.

‘Waingereza walifanya hivi,’ ‘Wajerumani walifanya hivi,’ wakati ilipokuwa ni Myahudi wa Kimataifa ambaye ndiye aliyefanya, mataifa yanakuwa tu sehemu zilizowekewa alama kwenye bao la mchezo wa sataranji. Leo hii duniani pote neno la lawama linasikika. ‘Marekani ili­fanya hivi.’

Kama isingekuwa kwa sababu ya kuwepo Marekani dunia haingekuwa katika hali nzuri zaidi. Wamarekani ni watu bahili, wenye uroho, makatili. - Kwa nini? Kwa sababu ya uwezo wa fedha za Kiyahudi, kituo chake kikuu ni hapa na hali hii ya kutengeneza fedha kutokana na kinga yetu ni dhiki ya Ulaya, kumchezea mmoja dhidi ya mwingine, na kwa sababu wengi sana katika hao waitwao ‘Wafanyabiashara wa Marekani’ walioko nje ya Marekani leo wala si Wamarekani, hao ni ‘Wayahudi.’

Raia huamka na kianzio na kuona kwamba hata mataifa meupe hayaruhusi­wi kuonana yenyewe kwa yenyewe siku hizi isipokuwa kwa njia ya macho ya Wayahudi. Uingereza na Ufaransa. Kwa nadra humuona msemaji maalum wa Kimarekani ambaye si Myahudi. Hiyo inaweza kuwa ni sababu ya wao kulipiza kwa kutupelekea sisi Wayahudi, wakidhani labda tunawapenda.
Protokali Ya Sita
“Tutasababisha mishahara kupanda ambayo hata hivyo haitakuwa na man­ufaa kwa wafanyakazi, kwani kwa wakati huo huo tutasababisha bei za vitu muhimu kupanda, na kusingizia kwamba hii ni kwa sababu ya kupun­gua kwa kilimo na ufugaji wa ngo’mbe.

Pia tutahujumu vyanzo vya uzal­ishaji kwa ufundi na kina zaidi kwa kupenyeza fikra za vurugu kwa wafanyakazi na kuwahamasisha kulewa pombe, wakati huo huo tutachukua hatua ya kuwaondoa wasomi wote wasiokuwa Wayahudi nchi­ni.”
Suala la Wayahudi huwepo popote pale wanapojitokeza Wayahudi, anase­ma Theodor Herzl, ni kwa sababu suala hilo huja nalo. Si idadi yao inay­ozua mjadala, kwani takriban katika kila nchi wapo wageni wengine wengi kuzidi Wayahudi. Si kwa sababu ya uwezo wao wanaojivunia sana, kwani sasa imeeleweka kwamba, wape Wayahudi mwanzo ulio sawa na umshik­ilie kwenye kanuni za mchezo, hana ujanja kuzidi mwingine yeyote, kwa kweli katika tabaka moja kubwa la Wayahudi shauku hutulizwa wakati fursa ya kula njama imeondolewa. Suala la Wayahudi si idadi ya Wayahudi ambao huishi hapa, si katika wivu wa Waamerika kuhusu mafanikio ya Wayahudi, kwa hakika si kwenye kukataa kwa vyovyote vile dini ya Musa inayofuatwa na Wayahudi; ni kitu kingine, na kitu hicho kingine ni ukweli wa mvuto wa Kiyahudi kwenye maisha ya nchi ambapo Wayahudi huishi; nchini Marekani ni ushawishi wa Kiyahudi kwa maisha ya Marekani.

Kwamba Wayahudi hutumia ushawishi, wao wenyewe hutangaza kwa sauti kubwa. Wayahudi hudai, kwa kweli, kwamba, misingi na kanuni za Marekani ni za Kiyahudi na si za Kikristo, na kwamba historia yote inatakiwa iandikwe upya na kutoa shukrani zinazostahili za utukufu kwa Yuda. Kama suala la ushawishi lote lipo juu ya madai ya kiyahudi, hapangekuwepo na fursa ya kutilia shaka, wanadai suala hili lote. Lakini ni upole kuwashikilia kwenye mambo; pia inajieleza kwa dhahiri zaidi kuhusu masharti hapa nchini kwetu.

Kama wakisisitiza kwamba wao ‘walitupatia Biblia yetu’ na ‘walitupatia sisi Mungu wetu’ na ‘walitupatia sisi aina yetu’ kama wafanyavyo tena na tena kwa kiburi chenye kutia kichefuchefu kwa njia ya machapisho yao yote ya mabishano – hakuna hata dai moja katika madai hayo lenye ukweli.

Haiwapasi wao kukosa subira na kuwa na maneno machafu wakati ambapo tunakamilisha orodha halisi ya ushawishi ambao wameuleta katika maisha ya Marekani.

Si wa Wayahudi isipokuwa fikira ya kiyahudi, na watu kama magari ya kubeba fikira hizo, hiyo ndio nukta ya suala lenyewe. Katika uchunguzi huu wa suala la Wayahudi, ni ushawishi wa kiyahudi na fikira ya kiyahudi ndio mambo yanayovumbuliwa na kufafanuliwa.

Wayahudi ni mabingwa wa propaganda. Hii kwa asili ndio uliokuwa ujumbe wao. Lakini walitakiwa kueneza kiini cha mafundisho ya dini yao. Kwa hili walishindwa kufanya. Kwa kushindwa hili, wao kwa mujibu wa maandiko matakatifu yao, walishindwa kila mahali. Sasa hivi Wayahudi hawana ujumbe wa neema wa kufikisha. Wachache miongoni mwa vion­gozi wao hata hudai kwamba wanayo kazi ya kueneza ujumbe wa kiroho. Lakini fikira ya kueneza ujumbe bado imo ndani mwao kwa namna ya upo­tovu, fikira hii potovu inawakilisha, uyakinifu kamili wa leo, uyakinifu umekuwa namna ya uchumaji wa kibahili badala ya mkondo wa huduma.
Kazi Na Uyahudi
Kiini cha fikira ya Kiyahudi katika ushawishi wake katika ulimwengu wa kazi ni sawa kama ile ya idara zote… uharibifu wa maadili halisi na badala yake huweka maadili ya kubuniwa. Falsafa ya kiyahudi kuhusu fedha si ‘kuchuma fedha’ bali ni ‘kupata fedha’. Tofauti ya hivi vitu viwili ni muhimu. Hiyo huelezea Wayahudi kuwa ni ‘mabepari’ badala ya kuwa ‘manahodha wa viwanda.’ Ni tofauti baina ya ‘kupata’ na ‘kuchuma.’

Aina ya akili ya ubunifu na hoja inayo tabia ya kupenda kitu inachoki­fanya. Mfanyakazi asiye Myahudi kwa kawaida alichagua kazi anayoipen­da sana. Hakubadilisha kazi kwa urahisi, kwa sababu palikuwepo mkataba kati yake na aina ya kazi ambayo alichagua. Hakuna chochote kingine kilichomvuta sana. Aliona afadhali apate fedha kidogo lakini afanye ali­chopenda kufanya, kuliko kupata zaidi na kufanya ambacho kinamkera. Mtu ‘anayefanikiwa’ kila mara huvutiwa na kupenda kwake. Si hivyo kwa ‘mpataji.’ Hajali afanye nini ili apate, almuradi kipato kinatosha. Hana fikra ya uongo, hisia au upendo kwa upande wa kazi. Ni dhahabu ndio yenye thamani.

Hana mwambatano wa vitu anavyovifanya, kwani hatengenezi chochote, yeye hujishughulisha na vitu ambavyo watu wengine huvitengeneza na huvifikiria vitu hivyo kwa upande wa fedha zitokanazo na vitu hivyo – kutengeneza thamani – furaha ya kazi ya ubuni­fu kwake si chochote.

Sasa kabla ya ujio wa ujamaa wa kiyahudi na fikra za kimageuzi, wazo lililotawala katika ulimwengu wa kazi ilikuwa “kutengeneza” vitu na hivyo “kupata” fedha. Palikuwepo na majivuno miongoni mwa makenika. Watu waliotengeneza vitu, walikuwa jamii shupavu na waaminifu kwa sababu walijishughulisha na fikira za ufundi stadi na ubora, na tabia zao sana ziliundwa kwa ridhaa ya kufanya kazi yenye manufaa kwenye jamii. Walikuwa ni Watengenezaji.

Na jamii ilikuwa imara maadam na wao walikuwa imara. Watu walitengeneza viatu na kuvifanya maonyesho ya ustadi wao, wakulima walistawisha mazao kwa sababu ya asili ya kupen­da mazao, si kwa thamani ya fedha yaliyokuwa nazo katika masoko. Kila mahali kazi ilikuwa ndio kitu kikubwa na yaliyobakia yalikuwa ya kawai­da.

Njia pekee ya kuvunja kinga hii yenye nguvu ya jamii ‘tabaka’ la ubunifu la wafanyakazi ilikuwa kupanda fikira zingine miongoni mwao; na fikira ya hatari kuliko zote iliyopandwa ni ile ambayo imebadili “kupata” kwa ‘kuchuma.’

Pamoja na mahitaji ya utengenezaji fedha na masoko ya chakula, shiniki­zo la kutosha lingekuja kusikiwa juu ya walaji wa mwisho kutoa maoni kwenye fikira ya ‘kupata’, na haikuchukua muda mrefu kabla ya uhusiano wa biashara ya ndani ya Marekani kuharibiwa kabisa na Wayahudi waki­wa wametawala mfumo wa benki, na Wayahudi wakiwa wanaongoza pande zote mbili: Wahafidhina na watu wenye msimamo mkali wa kundi la wafanyakazi, na yenye nguvu zaidi ya yote ni fikira ya kiyahudi iliy­opandikizwa kwenye akili za watu wanaofanya kazi. Fikira gani hiyo! Fikira ya ‘kupata’ badala ya ‘kutengeneza.’

Fikira ya kupata ni ya uovu, si ya kistaarabu, na ni fikra ya uharibifu inapochukuliwa peke yake, lakini inapounganishwa na ‘kutengeneza’ na kuwa ya pili katika umuhimu, inakuwa halali na yenye kujenga. Mara tu mtu au tabaka linapochanjwa na fikira kali ya Kiyahudi ambayo sharti lake ni ‘kupata…’ ‘kupata changu,’ ‘kupata ambapo fursa ya kupata ni nzuri,’ ‘kuwa mwaminifu kama unaweza, usiwe wa kuaminika kama inalaz­imu…’ ‘lakini kipate kipato’ yote haya ambayo ni maandiko ya falsafa ya kihaini, uimara wenyewe wa jamii ya binadamu hupoteza mwambatano wake na huanza kuporomoka. Ngano kubwa na uwongo wa fedha umelaz­imishwa kwenye nafasi ya vitu halisi, na hatua ya pili ya tamthalia inaweza kuanzishwa.

Ushawishi wa Kiyahudi kuhusu fikira ya mfanyakazi wa Marekani, pia kuhusu fikira ya biashara na watu wenye ujuzi, imekuwa mbaya, mbaya sana. Hii haikuoneshwa kwenye mgawanyo baina ya ‘mtaji’ na ‘kazi’ kwani hakuna vitu vya aina hiyo vilivyoachana, yupo mkuu na idara za shughuli za biashara ya Marekani. Mgawanyiko halisi ni kati ya fikira ya Kiyahudi ya ‘pata’ na fikira ya Anglo-Saxon ya ‘tengeneza’ na wakati uliopo fikira ya Kiyahudi imefaulu vya kutosha kuweza kusababisha mtibuko wa mambo.

Kila mahali hapa Marekani kwenye matawi ya biashara, vyuo vya Kikomunisti vinaendelezwa, vinaendeshwa na kufundishwa na Wayahudi. Hivi viitwavyo vyuo vipo Chicago, Detroit, Cleveland, Rochester, Pittsburgh, New York, Philadelphia na miji mingine, lengo lote ni kuweka kazi yote ya Marekani kwenye msingi wa ‘kupata’ ambalo lazima lithibitishe kuanguka kwa uchumi wa nchi.

Hiyo ndio hatima inayotafutwa kama ilivyo Urusi. Mpaka pale Wayahudi watakapoweza kuonesha kwam­ba kupenyezwa kwa Wayahudi wa nje na fikira ya kiyahudi kwenye kundi la kazi la Marekani kumetengenezwa kwa ajili ya uboreshaji katika tabia na mali, katika uraia na utawala wa kiuchumi, sawa uwe msimamizi au mgeni, la sivyo uharibifu na ushawishi wa kihaini utaimarika.
Makanisa Na Uyahudi
Sehemu ya mwisho ambayo mchunguzi asiyeelekezwa atatafuta ili kuona dalili za ushawishi wa Kiyahudi, ni ndani ya Kanisa la Kikristo, bado kama akishindwa kutazama humo atakosa mengi.

Ni maktaba ya seminari zetu za theolojia zilizojazwa mafaili kamili ya juhudi ya fasihi ya kiyahudi mnamo miongo ya hivi karibuni, na endapo wanafunzi wa kitheolojia wal­itakiwa kusoma matamshi haya ya Kiyahudi kungelikuwepo na mazungumzo kidogo ya upuuzi na ‘alama rahisi’ chache kwa ajilia ya propaganda ya Kiyahudi kwenye mimbari ya Kimarekani. Kwa miaka 25 ijayo kila seminari ya kitheolojia, lazima isaidie kiti kwa ajili ya kujifunza ushawishi wa kisasa wa Kiyahudi na Protokali.

Uwongo, kwamba Wayahudi ni watu wa Agano la kale na waumini wa she-ria ya Musa, baadae utafichuliwa, na Wakristo walio wepesi kutishwa, hawatasita tena kwa itikadi za kidhana kusema ukweli kuhusu Wayahudi kwa sababu ya tafsiri potofu ya kusikitisha ya maandiko yasemayo: “Nitawabariki wao ambao watawabariki nyinyi, na nitamlaani yule ambaye atawalaani nyinyi.”

Kuna kazi kwa ajili ya mimbari ya kulikomboa kanisa kutoka kwenye kile ambacho maandiko matakatifu ya Agano Jipya yanauita ‘kumwogopa Myahudi’. Mimbari pia inayo kazi ya kuliokoa kanisa kutokana na kosa la Yuda na Israeli ambalo linakaribiana kwa maana.

Kusomwa kwa maandiko matakatifu ambayo yanakanganya kabila la Yuda na Israeli, na ambayo hutafsiri kila tamko la Israeli kama kutambulisha Wayahudi, yapo kwenye kiini zaidi ya kimoja – nusu ya mkanganyiko – na mgawanyiko huonekana kwenye maelezo ya mafundisho ya Kikristo. Wayahudi sio ‘watu wateule’ ingawa kwa desturi kanisa lote limeshindwa na propaganda inayotangaza kwamba Wayahudi ni wateule.

Dalili ya fikira ya Kiyahudi katika miaka ya hivi karibuni imesambaa sana kwenye matamshi mengi ya Kikristo, na wachungaji ambao hawakuelekezwa wamethibitisha kuwa watiifu zaidi na zaidi kwa ushaw­ishi wa Kiyahudi.

Hali tepetevu ya Kanisa, inayolaaniwa sana na wasemaji ambao walikuwa wanaheshimu maisha ya kiroho haikuletwa na ‘sayansi’, haikuletwa na ‘utaalamu’, na sio kwa ‘kuongezeka kwa mwanga na mafunzo’, kwani hapana chochote kati ya vitu hivi vinavyopingana hata kwenye maelezo ya ukweli yasiyokamilika… bali hali hiyo imeletwa na ukosoaji wa juu zaidi wa Mayahudi – Wajerumani.

Watetezi wa imani wamepigana kishujaa kwa muda mrefu dhidi ya mashambulizi ya ghafla yaliyofanywa na kile kiitwa­cho ukosoaji wa kiwango cha juu zaidi, lakini inasikitisha kwa kutoweza katika utetezi wao, kwa sababu hawakuona kwamba asili yake na madhu­muni yake yalikuwa ya kiyahudi. Hayakuwa ya kikristo, hayakuwa ya Kijerumani, yalikuwa ya Kiyahudi.

Inakwenda sawasawa na mpango wa dunia wa Kiyahudi kwamba ushaw­ishi huu wenye uharibifu unatakiwa upelekwe nje kwa msaada wa Kiyahudi na unakwenda sawasawa kabisa na si vinginevyo – na uaminifu wa kiyahudi wa kukubali kitu bila kuchunguza chanzo chake.

Kanisa sasa ni mwathirika wa shambulio la pili dhidi yake, katika kuenea haraka kwa Usoshalisti na Usovieti ambao umesukumwa kwake katika jina la udhaifu na nadharia za maadili mabaya za ‘udugu’ na kuomba kutendewa haki na Kanisa. Kanisa limefanywa liamini kwamba lenyewe ni baraza la mazungumzo na si mahali pa juu pa kutangazia habari za kuzaliwa Yesu Kristo.

Kwa hakika Wayahudi wamevamia mamia ya Makanisa ya Marekani wakiwa mtu binafsi au kwa mpango wakiwa na uchochezi wao na fikira zao za kijamii zisizowezekana, na hatimaye wanakuwa na uhakika kabisa wa kimajivuno wa utawala wao, hali hiyo ambayo walikutana nayo pamo­ja na ukaguzi usioepukika.

Wachungaji wa Kanisa lazima wajue kwamba sehemu 7/8 ya uchumi rojorojo ambao wanauzungumzia kwenye mimbari hutayarishwa na maprofesa wa kiyahudi wa uchumi wa kisiasa na viongozi wa kimapin­duzi. Wanatakiwa wawe na taarifa kwamba, fikira ya kiuchumi imefanywa kuwa ya Kiyahudi kabisa kwa njia za makusudi na mpango kabambe wa propaganda ya kamafleji, kwamba umma – fikra ya halaiki (ambayo ni fikira inayotangazwa sana kwenye mimbari za ‘umma’ na magazeti) ni ya Kiyahudi zaidi kuliko Uyahudi wenyewe unavyoamini.

Mayahudi wamelishika Kanisa katika mafundisho, katika uliberali, kama yaitwavyo, na katika kuchochea na anuwai dhaifu mbalimbali za kisosi­olojia za matabaka mengi. Kama kuna mahali popote ambapo uchunguzi safi wa mjadala wa Kiyahudi unaweza kufanywa ni kwenye Kanisa la Kisasa, ambalo linatii propaganda nyingi za Kiyahudi bila kujitambua.

Hapa sio kwamba unashauriwa upingaji, ni maendeleo kwenye mikondo inayojenga, mikondo ya wahenga wetu, jamii ya Wasaksoni wa kiingereza, ambao hadi leo hii wamekuwa wajenzi wa dunia, watengenezaji wa miji mikubwa na biashara na mabara, na si Wayahudi ambao kamwe hawa­jawahi kuwa wajenzi wa watangulizi, ambao kamwe hawakujaza watu kwenye mapori, lakini ambao hutembea kwa jasho la kazi za watu wengine.

Wasilaumiwe kwa kutokuwa wajenzi wa watangulizi labda; laki­ni hata hivyo, labda wanapaswa kulaumiwa kwa kudai haki zote za watan­gulizi; lakini hata hivyo, pengine lawama yao haiwezi kuwa kubwa sana kama lawama wanayoipata vizazi vya Wasaksoni wa kiingereza kwa kupu­uza ujenzi halisi wa baba zao, na kuchukua fikira zenye mashaka za Kiyahudi.
Uyahudi Mashuleni Na Vyuoni
Vyuo vimekuwa vikivamiwa kwa mfululizo na fikira ya Kiyahudi. Watoto wa Wasaksoni wa kiingereza wanashambuliwa katika urithi wao kabisa.

Watoto wa Wajenzi, Watengenezaji, wanaangamizwa kwenye filosofia ya waharibifu.Vijana wa kiume kwenye miezi ya kwanza ya kusisimua sana ya uhuru wa kiakili hutekwa na mafundisho yaliyojaa ahadi, ambayo kwamba vyanzo na matokeo yake hawayaoni.

Kuna kawaida ya uasi wa ujana, ambao huahidi maendelo, upo ujasiri wa kuwa huru kucheza na imani za kale, ambazo zote ni mchemko wa roho na umuhimu wa mapambazuko ya nguvu za kiakili.

Ni wakati wa vipindi ambapo mpanuko huu wa ujana unaendelea kwamba kijana ametekwa na ushawishi ambao kwa makusudi humngojea yeye kwenye vyuo.

Kweli baada ya miaka sehemu kubwa miongoni mwao huzindukana vya kutuosha kuweza ‘kukaa pembeni na kuangalia mpito wa mambo’ na huja tena kwenye akili timamu. Huona kwamba mafundisho ya uhuru wa mapenzi hufanya mada za kusisimuka sana, lakini kamba familia… mtin­do wa zamani wa uaminifu wa mume mmoja na mke mmoja na watoto wao… ni msingi, si tu wa jamii, lakini wa tabia yote ya mtu binafsi na maendeleo.

Wanaona kwamba Mapinduzi, ambapo ni somo la kufurahisha kwa majadiliano makali na chagamsho zuri sana la hisia za utu bora na usawa, hata hivyo si mchakato wa maendeleo.

Tatizo la vyuo limeendelea mbele kwa usahihi katika njia zile zile ambazo zinaelezewa kuhusiana na makanisa. Kwanza, ukosoaji wa hali ya juu sana wa Kiyahudi katika uharibifu wa akili ya kujiheshimu ya kijana kwa misin­gi ya kale, pili, mafundisho, ya kimapinduzi ya kijamii ya Kiyahudi. Mambo haya mawili kila mara huenda pamoja. Hayawezi kuachana. Haya ni ukamilisho wa mpango wa Protokali kugawa jamii isiyokuwa Wayahudi kwa kutumia njia ya fikira.

Ni uzembe kushambulia ‘siasa kali’ ya wanafunzi wa vyuo, hizi ni sifa za kutokuwa wakakamavu. Lakini si uzembe kuonesha kwamba siasa kali ya jamii (siasa kali ni neno zuri sana ambalo inahuzunisha kuona linatumiwa vibaya) inatokana na chanzo cha Kiyahudi.

Kundi la kati la wanafalsafa wekundu (Red Philosophers) katika kila chuo kikuu lipo kundi la Kiyahudi, ambalo mara nyingi zaidi ‘walioko mstari wa mbele ni wasio Wayahudi’ katika umbile la profesa aliyedanganywa. Baadhi ya maprofe­sa hawa hulipwa na taasisi nyekundu zilizoko nje.

Kuna jamii za kisoshalisti baina ya vyuo, iliyojaa Wayahudi na ushawishi wa Kiyahudi, na maprofesa wa Kiyahudi ambao wanafika kila sehemu ya nchi, na kuhutubia udugu chini ya malezi ya msaada wa uraia mzuri wa vyuo vikuu.

Mafundisho ya kazi za wanafunzi ni malisho mazuri ya prop­aganda hii, madhumuni yake ni kuwapa wanafunzi msisimko wa kuamini kwamba wanashiriki kwenye mwanzo wa kundi kubwa linalolingana na kupata uhuru. Nguvu za kimapinduzi ambazo huongoza Uyahudi hutegemea sana kwenye heshima inayopewa kundi lao kwa muunganiko wa wanafunzi na maprofesa wachache. Ilikuwa hivyo nchini Urusi – kila mmoja anajua jina ‘mwanafunzi’ hatimaye lilikuja kuwa na maana gani nchini.

Taasisi ya Kiyahudi (Chautauqua), ambayo inafanya kazi takriban peke yake kwenye vyuo na vyuo vikuu, kwa pamoja na ‘Belshevism’ wanaounga mkono Ukomunisti katika sanaa, sayansi, dini, uchumi na sosiolojia, hutoboa moja kwa moja kwenye mila na matukio ya jamii yetu ya wanafunzi.

Hawa husaidiwa vya kutosha na maprofesa na viongozi wa kanisa ambao fikira zao zimetenguliwa na kutiwa sumu na ushawishi wa Kiyahudi wenye kuangamiza katika theolojia na sosiolojia1.
Nini Cha Kufanya Kuhusu Tatizo Hili?
Ni kutambua tu chanzo na aina ya ushawishi ambao umetanda kwenye shule zetu na vyuo vikuu vyetu. Wanafunzi waruhusiwe kujua kwamba chaguo ni baina ya Anglo-Saxon (Wasaksoni wa kiingereza) na kabila la Yuda.

Wanafunzi waruhusiwe kuamua, ni wapi waelekeze uaminifu wao, ama watawafuata Wajenzi au wale wanaotafuta kusambaratisha. Si jambo la kubishana. Dawa kamili ya kuzuia ushawishi huu wa kiyahudi ni moja tu, nayo ni kuwaita wanafunzi wa chuo waelekee kwenye fahari ya jamii yao.

Mara nyingi tunazungumza kuhusu baba zetu kama vile walikuwa ni wale wachache ambao waliweka saini zao kwenye waraka mkubwa ambao uliashiria enzi mpya ya uhuru. Wahenga hawa wa taifa letu walikuwa watu wa jamii ya ki-Selti – Anglo – Saxons. Watu ambao walikuja kutoka Ulaya wakiwa na ustaarabu ndani ya damu yao na kwenye hatima yao.

Watu waliovuka Atlantic na kuweka ustaarabu kwenye mwambao usio na matu­maini uliozungukwa na mwamba, watu waliokwenda Kaskazini hadi Alaska na California ya Kusini, watu waliofika na kuanza kuishi kwenye tropiki na kulainisha ukanda wa baridi sana Kaskazini mwa dunia, watu waliotawala tambarare ya Afrika, watu walioanzisha makazi ya wageni Australia na wakakamata milango ya dunia mifereji ya Suez, Gibraltar na Panama, watu ambao wamekabidhi sura kwa kila serikali na riziki kwa kila mtu na kanuni za maisha kwa kila karne.

Ama hawakupata Mungu wao wala dini yao kutoka kwa Yuda, wala lugha wala kipaji chao cha ubunifu… wao ni watu wa kutawala. Walichaguliwa mnamo karne zote kutawala dunia kwa kuijenga iwe nzuri wakati wote, na si kuivuruga2.

Katika kambi ya jamii hii, miongoni mwa watoto wa watawala wanakuja watu ambao hawana ustaarabu wa kuonesha kwao, hakuna dini yenye msukumo, hakuna mazungumzo ya ulimwengu, hakuna mafanikio makub­wa katika ufalme wowote bali ufalme wa ‘pata’, huitupa kila nchi ambayo imewakarimu, na watu hawa hujitahidi kuwaambia watoto wa ki-Saksoni nini kinachohitajiwa ili kuifanya dunia iwe katika hali inayotakiwa kuwa!

Kama watoto wetu wanafuata ushauri huu wa giza la uasi na uharibifu, ni kwa sababu hawajui wao ni watoto wa nani, ni vitawishina vya jamii gani. Pawepo mipaka ya uhuru wa kujieleza kwenye vyuo vyetu vikuu na uhuru wa kubadilishana mawazo, lakini fikira za Kiyahudi ziwekwe alama ya Kiyahudi, na watoto wetu wapewe fursa ya kujua siri ya kijamii.
Mtaje Adui
Onyo tayari limetoka kupitia kwenye vyuo. Mfumo wa mwenendo wa Kiyahudi tayari unajulikana kwa ukamilifu. Ni rahisi jinsi gani! Kwanza, ifanye dini isiwe msingi wa elimu na maadili kwenye shule – ‘fanya elimu iwe ya kilimwengu’ ni neno sahihi linalotumiwa na Wayahudi kwa ajili ya mchakato. Unaitayarisha akili ya mtoto wa shule ya umma kwa kulaz­imisha kanuni ambayo kwamwe haitatamkwa kuonesha kwamba, uta­maduni au uzalendo kwa njia yeyote ile umeunganishwa na maadili ya ndani zaidi ya dini ya Wasaksoni wa kiingereza (Anglo-Saxons). Izuie isionekane hata kusikika sauti yake! Pia ficha kila neno ambalo litamsaidia mtoto yeyote kutambua jamii ya Kiyahudi.

Basi unapokuwa umetayarisha uwanja hivyo, unaweza kwenda kwenye vyuo vikuu na vyuo vya kawaida na kuingia kwenye mpango wa ndumakuwili, kubeza mambo muhimu yote ya Anglo-Saxons, wakati huo huo unaijaza nafasi, iliyoachwa wazi kwa fikira za kimapinduzi za Kiyahudi.

Ushawishi wa watu wa kawaida unaondolewa kwenye mashule, ambako ushawishi wa watu wa kawaida unaweza kwenda, lakini ushawishi wa Kiyahudi unaruhusiwa kuenea haraka pote kwenye taasisi za juu ambako ushawishi wa mtu wa kawaida haufiki. Zigeuze shule zote ziwe na elimu ya kilimwengu, na halafu unaweza kuvifanya vyuo vikuu viwe vya Kiyuda.

Huu ndio ‘uliberali’ ambao msemaji wa Kiyahudi anaushangilia sana. Kwenye vyama vya wafanyakazi na vyuo vikuu, uliberali umetia doa maadili ya kazi, imani na jamii. Uthibitisho wake umeandikwa kwa maan­dishi makubwa kwenye shughuli zote na matamshi yote. Hii ni jitihada ya ushawishi huu huu ambao Uyahudi hujisadikisha wenyewe kwamba unakamilisha ‘ujumbe’ wake duniani.

Ubepari ulioshambuliwa kwenye – ubepari usio wa Kiyahudi; imani halisi iliyoshambuliwa ni imani halisi ya Kikristo, jamii iliyoshambuliwa ni jamii ya Wasaksoni wa kiingereza; yote hayo ambayo kwa uharibifu wao yatale­ta utukufu wa Uyahudi.

Orodha inaweza kurefushwa, ushawishi wa fikira ya kiyahudi juu ya michezo ya riadha na burudani ya Wasaksoni wa kiingereza, juu ya fikira ya uzalendo wa Anglo-Saxon, ya kazi za kitaalamu. Ushawishi wa fikira ya Kiyahudi umeenea kwenye kila idara ya maisha.

Mhariri mmoja Mmarekani aitwaye Well ambaye alidanganywa vibaya sana alikamilisha kwenye mikataba ya matangazo ya Kiyahudi alisikika akisema: ‘Kama Wayahudi hawatagunduliwa, basi wanayo haki kufanya hivyo.’ Ni tofauti ya jibu la asili la Uyahudi, ambalo linasema hivi: ‘Inawezekanaje watu wachache wapatao milioni tatu (3) watuendeshe sisi milioni mia (100)? Ni jambo la upuuzi’.

Ndio, na ikubalike; kama fikira ya Kiyahudi ina nguvu zaidi, kama uwezo wa Kiyahudi ni mkubwa zaidi, waache washinde, maadili na mamlaka ya Anglo-Saxon yavunjike na kuporomoka mbele ya kabila la Yuda. Lakini, kwanza hizi fikira mbili ziruhusiwe kupambana chini ya bendera zao, mapambano haya yawe ya haki.

Mapigano hayawi ya haki ambapo kwenye sinema, shule, makanisa yenye athari za Kiyuda, vyuo vikuu, fikira ya Anglo-Saxon haiwafikii jamii ya Anglo-Saxon kwa kisingizio kwamba ‘ina ufuasi wa vikundi’ au ‘ufuasi wa kiukoo’ au ‘iliyopitwa na wakati’ au kitu kingine, kama vile, upingaji maendeleo.

Si ushindani wenye kutoa fursa sawa na haki ambapo fikira za Kiyahudi huwasilishwa kwa wapokeaji kama fikira za Anglo-Saxon, kwa sababu hutolewa kwa msaada wa Anglo-Saxon.

Urithi ulioachwa na wahenga wa Anglo-Saxon uachwe uenee kwa uhuru miongoni mwa watoto wa Anglo­Saxon, na kamwe fikira ya Kiyahudi haitashinda. Kwenye mabaraza ya vyuo vikuu au kwenye masoko ya biashara. Fikira ya Kiyahudi kamwe haishindi hadi hapo ambapo watu ambao hukubaliana nayo kwanza huny­imwa elimu ya utamaduni wa kwao.

Yuda imeanza mapambano. Yuda imefanya uvamizi. Iache ije. Mtu asiio­gope. Lakini kila mtu asisitize kwamba mapambano yawe ya haki. Waachie wanafunzi wa vyuo na viongozi wa fikira wapewe fursa ya kutambua kwamba lengo ni utawala wa fikira na jamii ambazo zimejenga ustaarabu wote tuonao na kwamba unaahidi ustaarabu wote wa wakati ujao, pia waelewe kwamba nguvu ya ushambuliaji ni ya Kiyahudi.

Haya ndio yote ambayo yatakuwa ya lazima. Ni dhidi ya hili kwamba Wayahudi wanafanya upinzani. ‘Lazima usitutambue sisi’, wao husema, kamwe usitumie neno ‘Myahudi’, Oh! Kwa nini? Kwa sababu hadi hapo ambapo fikira ya Kiyahudi itakapotambua na kuingia ndani chini ya dhana nyingine na si yenye asili ya Kiyahudi, vinginevyo itashindwa. Fikira za Anglo-Saxon hudiriki kujitangaza na chimbuko zilikotokea. Tangazo la kufaa ndilo jambo la lazima leo hii. Kila fikira vamizi ilazimishwe kutundika bendera yake!
Protokali Ya Nne
“Ni kwa sababu hii kwamba tunahujumu imani, tunafuta kutoka kwenye akili za wasio Wayahudi maadili halisi ya Mungu na Roho, badala ya fikira hizi tunaweka tamaa ya anasa kwa mfumo wa mahesabu.”
________________________
1. Uharibifu huu wa upotoshaji wa kuangamiza wa Kiyahudi pia ulifanywa na Wayahudi kuhusu theolojia ya Kiislamu mapema mnamo miongo ya mwanzo ya Kiislamu ukweli unaothibitisha uovu uliofanywa na Wayahudi ambao kamwe haukubadilika hadi leo hii - Mchapishaji.

2. Inasikitisha kwamba Bwana Ford amepotoka kwa hili. Inawezekanaje awashau­ri wanafunzi wa Marekani waelekee kwenye fahari ya jamii? Ni jamii ipi inaweza kuwa na wastani wa kufaa kwenye mchanganyiko wa jamii ya Marekani? Bwana Ford anapotaka kurudi nyuma kwa wahenga wake na jamii yao anaposema kwam­ba watu wake “walioteuliwa katika karne zote kutawala dunia” basi, yeye si mbora zaidi ya Wayahudi ambao pia wanataka kutawala dunia kama “watu wateule” ingawaje namna zinaweza kutofautiana - Mchapishaji.
Kutoka kwenye kumbukumbu za awali kabisa za Wayahudi kuwasiliana na mataifa, hapana muda mrefu wa miaka ambao ulipita bila lawama kuji­tokeza kwamba Wayahudi wanafanyiza ‘watu ndani ya watu, taifa ndani ya taifa.’

Lawama hizi zikitolewa leo hii hukanuhswa kwa hamasa sana na watu wanaojifanya watetezi wa watu wao, na kanusho hilo huungwa mkono na takriban Wayahudi wote wa matabaka yote. Hata hivyo hakuna lolote ambalo limesemwa kwa dhahiri zaidi katika mafundisho ya Wayahudi au kwa dhahiri zaidi katika maisha ya Wayahudi, zaidi ya kwamba lawama hizi ni za kweli. Lakini iwapo ukweli huu lazima utu­miwe dhidi ya Wayahudi, hilo ni suala lingine kabisa.

Kama Wayahudi ni taifa, utaifa wao umeasisiwa juu ya ardhi mbili; ya jamii na dini, kwa hakika hili lipo nje ya mipaka ya akili kwamba wataki­we au wanatarajiwa kuondoa umbali, kuondoa utaifa na wenyewe kujion­dolea dini.

Lakini wala isitegemewe kwamba watawakanusha vikali wale wanaoeleza ukweli. Ni katika msingi wa ukweli tu kwamba utatuzi wa tati­zo lolote unaweza kupatikana. Hapa ndipo lawama inapoambatana: kwam­ba habari za dhahiri hukanushwa kama vile hakuna mtu isipokuwa Wayahudi wenyewe na walijua kwamba habari hizo zipo.

Kama Wayahudi wanatakiwa kuwa taifa mfululizo, kama wanavy­ofundisha, na kama hali ya taifa ndani ya taifa inakuwa haivumiliki, basi suluhu lazima ije kwa mojawapo ya vitu viwili, kutenganishwa kwa ‘taifa’ kutoka kwa mataifa mengine, au kutukuzwa kwa ‘taifa’ zaidi ya mataifa mengine. Upo ushahidi mwingi sana kwenye maandishi ya kiyahudi, kwamba viongozi hutegemea hali zote hizi mbili kuja – taifa lililojitenga na taifa lililo bora sana, kweli kiini cha mafundisho ya kiyahudi ni kwam­ba Uyahudi ni taifa lililojitenga sasa na linaelekea kuwa taifa bora na kubwa. Ni hao tu wateule Wayahudi huwaambia wasio Wayahudi wanaokanusha haya: Urabi wa kweli wa Yuda haukanushi hili.
Wayahudi Hukataa ‘Umarekani’
Katika uchunguzi wowote wa suala la Wayahudi, mwanafunzi hushtushwa mara kwa mara na ukweli kwamba jambo ambalo Wayahudi hulalamika zaidi, ni lile ambalo wao wenyewe wameanzisha. Hulalamikia kile wana­chokiita upinzani wa usemiti; lakini lazima iwe wazi hata kwa akili goigoi kwamba kamwe hakuwezi kuwepo na kitu kama upinzani wa usemiti kama kwanza kusingekuwepo kitu kama usemiti.

Halafu chukua malalamiko ya Wayahudi kuhusu wao kuishi kwenye mitaa ya watu wanaobaguliwa (mageto), mitaa wanamoishi watu wanaobaguliwa ni kitu kilichovumbuliwa na Wayahudi. Mwanzoni mwa uvamizi wa miji mikuu ya Ulaya, na baada ya karne kadhaa miji mikuu ya Marekani, mara kwa mara Wayahudi waliishi wao wenyewe kwa kujitenga kwa sababu waliamini kuwepo kwa watu wasio Wayahudi huwafanya wao wanajisike.

Waadishi wa Kiyahudi waliokuwa wakiandika mambo ya Wayahudi, hukiri hili kwa uhuru, lakini katika kuandika kwa ajili ya wasio Wayahudi, hutaja mitaa ya watu waliotengwa kuwa ni ukatili wa wasio Wayahudi.

Fikra ya najsi iliyoanzishwa na Wayahudi, ni fikra ya zamani ya kimashari­ki iliyosalia; huenezwa kwa ushawishi kwa wasio Wayahudi. Hivyo pamo­ja na ukweli huu wa ‘taifa’ lililojitenga, ni Wayahudi ndio waliolitambua kwanza. Kwanza walisisitiza juu ya jambo hili na kila mara wametafuta kutambua kujitenga huko kwa fikira na vitendo.

Zaidi, Myahudi kweli na aina ya kawaida ya Myahudi, huamini kwamba ushawishi wa umarekani au wa dola yoyote iliyostaarabika isiyo ya Kiyahudi, ni hatari kwa Uyahudi. Kauli hii ni ya hatari na hakuna kiasi cha utetezi wa wasio Wayahudi unaoweza kutosha kuithibitisha.

Kwa kweli, ni kauli ya aina hii ambayo akili ya asiyekuwa Myahudi haingeweza kugeu­ka, kwa sababu mwelekeo wa wasiokuwa Wayahudi wote upo upande mmoja, yaani kwamba umarekani ni kitu kizuri kwa Wayahudi.

Ni kutoka kwa vyanzo vya kiyahudi vyenye kuaminika ambako tunajifunza ukweli huu kwamba kile tunachokiita, ushawishi wa ustaarabu huonekana kama ni uadui dhidi ya Uyahudi.

Si yule asiye Myahudi ambaye husema kwamba ‘fikra za Kiyahudi’, kama fikra haziendani na maisha ya nchi yetu, bali ni Myahudi ndiye anayesema hivyo. Ni yeye ndiye anayesema kwa hasira dhidi ya Umarekani, si Mwamerika asemaye kwa hasira dhidi ya Uyahudi.

Umarekani bado haujamalizika, Uyahudi umekamilika tangu karne nyingi zilizopita. Ambapo hapana Mwamerika ambaye angefikiri kuonesha sehe­mu yoyote ya nchi au kundi lolote kama mwakilishi wa Uamerika wa kweli na wa aina ya mwisho, Wayahudi huonyesha sehemu za dunia bila kusita na makundi fulani kama wawakilishi wa aina ya kweli ya Uyahudi.

Upo wapi aina ya Uyahudi ambao waadishi wa Kiyahudi huutambua kama ndio wa kweli? Myahudi aishiye kwenye mitaa ya watu waliotengwa yupo kwenye maandiko kama desturi ya Uyahudi.

Mwalimu wa kiyahudi maarufu wa masinagogi ya Wayahudi wa Hispania na Ureno, aliyekuwa hapo kwenye mchango wa ubia wa Central Park, New York alikuwa Dk. D. Desola. Ni Mwandishi Wa Maneno Yafuatayo:

“Kwenye mitaa ya watu waliotengwa kushika kanuni za Uyahudi ilikuwa kawaida na takriban jambo lisiloepukika. Kanuni za maisha ya Kiyahudi ni mazingira yaliyokuwemo.”

Mwalimu mwingine wa Kiyahudi, Dk. M. H. Segal, anatoa, maoni kwam­ba Uyahudi na Marekani kwa kweli ulihuishwa kwa kuingizwa kwa wahamiaji kutoka Poland na Lithuania.

Akitetea kwa kukubaliana viongozi wengine wa Kiyahudi, kwamba kituo cha Kiyahudi cha dunia kilikuwa Urusi na Poland hadi muda mfupi kabla ya vita vya 1914. Dk. Segal anase­ma:

“Vita (1914-1918) imeharibu ishara za mwisho za jamii ya Kiyahudi inay­opungua ambayo iliburuza unyonge wa kuwepo kwake katika nusu ya enzi za karne ya kati kwenye mitaa ya watu waliotengwa ya Poland na Lithuania. Pamoja na kukua kwa unyonge wao, jumuiya hizi ndizo zilikuwa kimbilio la mwisho la Wayahudi katika kutawanyika (Dispersion).

Ndani ya jamii hizo bado kinadumu kitu cha maisha ya kale ya Kiyahudi, baadhi ya taasisi za kale za kiyahudi, ibada na mila. Pia jamii hizi zilitoa uchangamfu wa aina ambayo waliweza kwa Uyahudi ambao ulidhoofu na kufifia kwenye jamii za dola za kisasa za Ulaya na Marekani.” Fikra hii kamwe si isiyojulikana – kwamba miingiliano mikubwa ya Wayahudi wa kweli kutoka kwenye mitaa ya watu waliotengwa ya Kale ya Dunia hupendeza na ya lazima kuwepo ili kuhuisha Uyahudi katika nchi kama Marekani. Israel Friedlaendes, ambaye jina lake linaheshimiwa na Wayahudi, pia alitambua huduma mtiririko wa mitaa ya watu waliotengwa kwa Uyahudi. Kwenye mhadhara wake ‘Tatizo la Uyahudi nchini Marekani,’ amesema kuhusu uelekeo wa kuzima Uyahudi kuwa na uhuru mkubwa sana, kama ambavyo Myahudi amekuwa anafurahia mara kwa mara nchini Marekani.

Uelekeo huu, anasema, unasahihishwa kwa njia mbili: Kwa ushawishi wa kukataa usemiti na ‘kwa mtiririko mkubwa wa wahamiaji wa Kiyahudi, kwa upande mwingine, ambao huondoka kutoka kwenye nchi za kikan­damizaji kwenda kwenye nchi zilizo huru, pamoja nao, kwa wazi au kwa siri, hubeba ushawishi wa kudumisha na kuhuisha mitaa ya watu waliotengwa.’

Mwandishi huyu huyu kwenye makala iitwayo ‘Kuwaingiza wahamiaji wa Kiyahudi kwenye Umarekani,’ kusema kweli humpendelea zaidi Myahudi halisi kutoka kwenye mitaa ya watu waliotengwa kuliko Myahudi ambaye ameshawishiwa na maisha ya Mmarekani.

‘Kumwingiza Myahudi kwenye umarekani ‘katika usemi wetu wa kawai­da maana yake ni kukubaliana na mila na taasisi za Marekani, lakini Wayahudi hawamaanishi Marekani tu wanaposema ‘Marekani’. Aidha humaanisha Marekani ya Kusini na ya Kati – ambapo mapinduzi mengi sana yametokea. Ipo idadi kubwa ya Wayahudi nchini Argentina, na wengi wapo kwenye nchi zingine.

Labda ingeweza kutoa mtazamo usio sahihi kuhusu ukweli wa kusema kwamba, viongozi wa kiyahudi wote wanachukia Marekani lakini ni kweli kusema kwamba hawapendi kuwaangamiza wahamiaji wa Kiyahudi kwenye Umarekani. Hivyo ni kwamba, mwelekeo wa ‘Umarekani’ unatofautikana sana na ule wa ‘Uyahudi’ hivyo kwamba pande hizi mbili zimo kwenye mgongano. Hii haiashirii uhaini kwa utaifa wa Marekani, labda kama ulivyoashiria uaminifu mkubwa sana kwa utaifa wa Kiyahudi.

Lakini msomaji lazima awe mwamuzi yeye mwenyewe juu ya mambo yalioandikwa kwenye kitabu hiki kwamba tofauti hii kwa kweli inafika umbali gani na athari za mapambano baina ya fikra hizi mbili. Ukweli wa uadui uliopo baina ya pande hizi mbili upo wazi na umekamilika.

Wasio Wayahudi hawaoni uadui huo, lakini Wayahudi kila mara na kila mahali wapo makini kuuona uhasama huu. Hali hii inatupa mwanga mkali kwenye mipango yote ya kimapinduzi ili kuvunja udhibiti uliopo wa jamii, kwa kupandikiza mfano kama baina ya kile kiitwacho mtaji na kazi, kwa kudu­misha hadhi ya serikali, kwa njia ya siasa potofu, kwa kudhalilisha akili za watu kwa njia ya michezo ya kuigiza na sinema, lakini haya yapo kwenye zoezi la fedha za kiyahudi kutengeneza kwenye vita kwamba, dalili nyingi sana za dhuluma kubwa huonekana na nyingi miongoni mwao ni uhalifu wa Wayahudi.

‘Vita nyingi ni mavuno ya Wayahudi’, huu ni msemo wa kale. Upendeleo wao wa idara ya mkuu wa ugavi imechunguzwa kwa wakati wa kale na wa sasa. Kwa zaidi sana maslahi yao yapo kwenye faida na si kwenye masuala ya kitaifa; kawaida ya uaminifu wao upo kwenye taifa la Kiyahudi, badala ya taifa lingine lolote, ni kawaida kwamba wakati wa vita wao huonekana kuwa wafanyabiashara wa bidhaa na habari, na wao hunufaika kwa biashara na hupeleleza wakati wa vita.

Kwa kuwa mpango usiovunjika umefuatiliwa tangu vita vya wenyewe kwa wenyewe, Vita vya Mapinduzi na Vita kuu1, mabadiliko pekee yanay­oonekana ni kuongezeka kwa mamlaka na faida ya Wayahudi.

Japokuwa idadi ya Wayahudi walioko kwenye makoloni ya Marekani ilikuwa ndogo, walikuwepo wa kutosha kuonesha alama kwenye Vita ya Mapinduzi, na ambapo hapakuwepo na sheria yoyote dhidi ya Wayahudi kama ilivyokuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe, palikuwepo na matendo hayo hayo dhidi ya watu binafsi kwa sababu hizo hizo ambazo mnamo miaka ya 1861-5 zilikuwepo kwa wingi zaidi.
Wayahudi Na Kilio Cha “Mateso Ya Kidini”
Hakuna hata Myahudi yeyote nchini Marekani mwenye akili aliyekuwa mpumbavu sana kiasi cha kutangaza kwamba suala la Wayahudi ni suala la kidini na kwamba uchunguzi wa suala hili kwenye makala hizi uliainisha ‘mateso ya kidini’. Lakini ni dhahiri kwamba hayo yote ndio yaliyobakia kuyapigia kelele kwenye mipaka ya ‘Wasio Wayahudi’. Kutokana na yale yanayoweza kuonekana, sehemu yake kubwa ni watu wenyewe wasio na dini na hutumia neno ‘mateso ya kidini’ kama tambara jekundu lililochakaa ambalo wao hudhani litawaingiza watu kwenye vitendo vya uchochezi.

Na inastaajabisha jinsi kilio cha ‘mateso ya kidini’ kinavyotumika kuita pepo wa mateso dhidi ya anayetuhumiwa kuwa mtesaji.

Si moja kwa moja au kwa dhana inachukuliwa kwenye makala hizi kwam­ba suala la Wayahudi ni suala la kidini. Kinyume chake, likiungwa mkono na mamlaka za juu za Kiyahudi, kwa imara inaelezwa kwamba suala la Wayahudi ni mojawapo ya masuala ya jamii na utaifa.

Hakuna mateso ya kidini ya Wayahudi nchini Marekani isipokuwa uchochezi wa jamii mbalimbali za binadamu kwa ajili ya kuondoa ‘maua­ji ya wenye kutimiza kanuni za Kiyahudi’. Isipokuwa hamasa ya jamii mabimbali za binadamu kwa ajili ya ukomeshaji wa ‘mauaji ya Kosher’ inaweza kufikiriwa hivyo na pia ile mbinu ya kuchinja wanyama kwa ajili ya chakula ambayo haina haja ya kuwa ya kikatili hivyo. Lakini hata kanusho hili linaweza tu kwa matatizo kutumika kwenye hitimisho la ‘dini ya Wayahudi’. Mbinu ya kuchinja ya Kiyahudi kama inavyotekelezwa sasa haikukubaliwa kwenye agano la kale lakini imekubaliwa kwenye Talmud na kwa hiyo upo ushahidi dhahiri kwamba, mbinu za kisasa hufanikisha lengo la Kiyahudi (kuondoa damu kwenye mzoga) vizuri zaidi kuliko mbinu za Kiyahudi. Huu ndio mfano tu ambapo dini ya Kiyahudi imeguswa kwa mbali.

Ukweli ni kwamba wakati ambapo hakuna ‘mateso ya kidini’ ya Wayahudi, yapo mateso ya kweli zaidi ya kidini yanayofanywa na Wayahudi. Hii ndio tabia mashuhuri ya mpangilio wa maisha ya kiyahudi nchini Marekani, inafanya kazi daima, yenye nguvu na mashambulizi makali sana dhidi ya aina yoyote ya Ukristo, ambao unaweza kupata nafasi ya kujulikana kwa watu.

Mara kwa mara tunasikia kuzuka kwa ulokole wa madhehebu kati ya Wakatoliki na Waprotestanti, lakini haya hayawezi kulinganishwa na tahadhari imara, isiyo na huruma ya shughuli ya kuupin­ga Ukristo inayofanywa na taasisi za Wayahudi.

Kuna kutokuelewana kati­ka mafundisho ya dini miongoni mwa Makanisa ya Kikristo, lakini haku­na hata moja ambalo hutoa changamoto kuhusu msingi wa Ukristo wenyewe, Uyahudi uliopangiliwa, hata hivyo hauridhiki na mgogoro wa mafundisho ya dini, lakini huorodhesha biashara zake kubwa na nguvu za kisiasa dhidi ya kila kitu kinachofikiriwa kuwa, kwa kutumia maneno yake ni ‘Udhihirisho wa Ukristo’2.

Hakuna Rais wa Marekani ambaye hadi sasa amediriki kutoa kiapo chake cha kutawazwa kwenye kurasa za wazi za Agano Jipya, lazima Myahudi angemkataa. Magavana mbalimbali wa majimbo ya Marekani, baada ya kutumia neno ‘Mkristo’ kwenye tangazo la sala yao ya shukrani wamelaz­imika kufundisha umarekani kwenye miji yetu kwa sababu ilieleweka kwamba Ukristo na uraia wema huenda pamoja.

Hakuna mtumishi wa serikali ambaye amewahi kutoa ushahidi hadharani wa imani yake ya Kikristo bila kushutumiwa na Wayahudi. Si tu Wayahudi hawakubaliani na mafundisho ya Kikristo – ambayo ni haki yao na haku­na mtu yeyote anayehoji hilo – lakini hutoa sehemu hiyo kwa mahitaji ya Wayahudi. Kila kitu ambacho kingemkumbusha mtoto shuleni kwamba anaishi katika ustaarabu wa Kikristo, kwenye taifa ambalo limetangazwa na Mahakama kuu kwamba msingi wake upo kwenye kanuni za Kikristo huamriwa kutoka kwenye shule za umma kwa mahitaji ya Kiyahudi.

Kwenye taifa na wakati ambapo Wayahudi walio wengi wanaweza kucha­pa kila mwaka kumbukumbu ya maombi ya misamaha ambayo wameipa­ta kwa kuwashawishi maafisa wa umma ‘wakiwa wametumia bila uangal­ifu neno ‘ukristo’, inafaa kwamba lawama hii ya ‘mateso ya kidini’ lazima iwekwe pale inapohusika.

Myahudi huona fahari katika mateso ya kidini kama ambavyo Mmarekani huona fahari kwenye uzalendo, chuki bila sababu ya kidini ni usemi mkub­wa wa Myahudi wa uzalendo wao wenyewe. Na ndio tu aina ya chuki bila sababu iliyopangiliwa na mashuhuri, na iliyofuzu ya kidini hapa nchini kwa sababu wamefaulu kuvuta hila kubwa ya kutokufanyiza msimamo wao, lakini upinzani wowote kwa hilo hubeba kiini cha “chuki bila sababu ‘na mateso.’

Ndio sababu Myahudi hutumia maneno haya mara nyingi sana. Hutaka kumpachika mtu mwingine kwanza. Ndio sababu upelelezi wowote wa suala la Wayahudi kwa utundutundu mkubwa sana hutangazwa kama upinzani wa usemiti. Na Myahudi anajua faida ya kumpachika mtu mwingine.

Maudhui haya ya ‘mateso ya kidini’ hayataonekana mahali popote katika uwanja wote wa suala la Wayahudi, isipokuwa upande wa Kiyahudi. Nchini Marekani, imo chuki bila sababu ya kidini, lakini ni ile ya Kiyahudi tu. Kama umma wa Kikristo wangejali hata kiasi cha sehemu ya 1/100 – 1/1000 kuhusu dini ya Kiyahudi kwa kiasi ambacho Wayahudi wanavyoshughulika kuhusu ufuasi wa Ukristo mfumo wote wa mafundisho ya Talmud ungeteketezwa kwenye mwanga mkali na uzinga­tivu wa kawaida ungeung’arisha na mng’aro wake ambao kila mara huwa umefichwa.

Uchambuzi tu kwa maslahi ya afya ya akili ungeweza kuwalazimisha Wayahudi kuachana na giza ambalo limewashikilia sasa, sheria ya kiyahudi inawiwa kuwepo kwake leo kwenye kutojali ambako kwamba kunafikiriwa. Hii ni mbali na kinyume mno cha ‘mateso ya kidi­ni’.

Chuki isiyo na sababu ya kidini haipendezi kuandika habari zake kama ilivyo katika kupata uzoefu wake kwa njia nyingine yoyote. Ni kinyume kabisa cha kipaji cha Kiamerika na Anglo-Saxon. Kila mara tumeifikiria dini, kama jambo la dhamira.

Kuamini kama ap