Rafed English
site.site_name : Rafed English

Dalili za Qiyama na Ubashiri wa Kudhihiri Imam Mahdi (a) by : Amiraly M. H. Datoo

 

Safina ya msafara wa mwisho wa mwanadamu inakaribia mwisho wake katika dimbwi la hatari ya imani potofu ya kuamini dunia hii tu bila ya kujali Aakhera. Uroho huu umeongezeka katika udanganyifu wetu wa kisayansi kiasi kwamba mwanadamu anataka kuiendesha sayari ya Venus, Mwezi na Jua. Uroho huu umemfanya kiasi cha kuweza kusahau matatizo ya dunia yetu hii.

Mashabiki wa utamaduni wameudhalilisha ubinadamu kufikia tabaka la chini kabisa la aibu kiasi kwamba hata kilio cha Baba Adam a.s. pia kitakuwa kimelowana kwa jasho la udhalilisho.

Kidhahiri, dunia hii imejaa mwangaza lakini kiza cha ujahiliya kinaenea mbali na kwa mapana. Kizazi cha Shetani kimekwisha tayarisha mipango kamambe ya kulipiza kisasi chake cha kudharauliwa na kizazi cha Mtume Adam a.s. Hali mbaya na machafuko ya matendo ya aina yote ya madhambi ndivyo vilivyosababisha kufungwa milango ya mwanadamu ya kuwa huru. Kivuli cha kiza kikubwa cha misiba ndiyo mambo yanayotia uchungu wa moyo juu ya ubinadamu.

“Lakini, mwale wa nuru moja tu wa matumaini katika janga hili la kutokuwa na matumaini ni ile nuru ya nafsi yako (Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ) ambayo ipo inang'ara mbali na pazia isiyoonekana. Tunakuomba Ewe Imam Mahdi a.s. ! Udhihiri haraka iwezekanavyo na kwamba ufupishe hayo masaa ya subira yetu kwa ajili yako ingawaje kamwe hatuwezi kupoteza subira zetu kwa ajili yako. ”

“Tuombee, udhihirishe yale yaliyo batini na uifanye nuru yako ing'arishe ulimwengu mzima. Dhihirisha maneno ya Allah swt kuwa "Allah swt ataikamilisha nuru yake hata kama makafiri watachukia". Udhahiri wako ndio dalili ya kuja kwa Siku ya Qayama lakini kutokuwapo kwako pia ni yenye maumivu kama Siku ya Mwisho. Wanaadamu tunaoathirika tunakuhitaji mno na mimi ninayo imani kamili ya kuja kwako na mwelekeo mwema katika kudhihiri na njia moja ya kukukaribisha, kwa kunyenyekea ninakitoa kitabu hiki "Qayamat-i-Sughra" mbele yako na natumaini kuwa utanikubalia mimi kama mtumwa wako na hakika hii itakuwa ndiyo uokovu wangu”.

Amiraly M. H. Datoo
Bukoba, 4 Januari 1996
Qayamat -i- Sughra ni kitabu ambacho kinazungumzia mambo mengi hasa kuhusiana na ubashiri wa kuja kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. , jambo ambalo linakubaliwa na Waislamu wa Madhehebu zote kwa pamoja kuanzia mwanzoni hadi siku hii ya leo. Waandishi wa Kishiah wamefanya kazi kubwa mno katika swala hili na vile vile juhudi za waandishi wa Kisunni pia zinastahili pongezi kwani wao wamechangia kwa kiasi kikubwa katika kuthibitisha waziwazi kuja kwa Imam Mahdi a.s. .

Hivyo hapa chini munaletewa marejeo ya maandiko kutoka vitabu vya Kisunni: 1. Jame' Sahih Muhammad ibn Ismail Bukhari Ahadith 13 2. Jame' Sahih Muslim ibn Hajjaj. Ahadith 11 3. Jame' Sahihain Hamidi Ahadith 2 4. Jama bain Sihah Sitta Zaid ibn Muawiya Abdari Ahadith 11 5 Fadhail-us-Sahaba Abdul Aziz Abkari Ahadith 7 6. Tafsir Tha'labi Ahadith 5 7. Gharib-ul-Hadith Ibn Qataiba Ahadith 6 8 Al-Firdous Ibn Shirwiyah Dailami Ahadith 4 9. Musnad-i-Fatimah Hafidh Abul Hasan Darqutni Ahadith 6 10 Musnad-i-Ali Hafidh Abul Hasan Darqutni Ahadith 3 11 Al-Mubtada KIssai Ahadith 3 12 Al-Masabih Husain ibn Masud Atra Ahadith 5 13 Al-Malahim Abul Hasan Manadiri Ahadith 34 14 Kitab Hafidh Ibn Mutayyan Ahadith 3 15 Ar-Riaya-li-Ahlir Riwaya Muhammad Ismail Farghani Ahadith 3 16 Khabar-i-Soteh Hamidi Ahadith 2 17 Istiab Yusuf ibn Abdul Aziz Numairi Ahadith 2

Katika karne hizi kumi na tatu kumeweza kutokea watu wachache ambao wanakanusha kabisa swala hili la kuwapo kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na idadi yao ni ndogo mno. Hapana shaka kuwa kuna watu ambao wanadai kuwa Yazid bin Muawiya bin Abi Sufiyan kuwa khalifa halali. Kunaweza kuwapo sababu mbili tu za kukanusha kuwapo kwa Imam Mahdi a.s. Moja, iwapo wao watakubali na kuthibitisha kuwapo kwa Imam Mahdi a.s. , basi kutakuwa na shauku kubwa ya kutaka kujua shakhsiyah yake na nasaba yake, maisha na mienendo yake, n. k. hivyo mambo yote kama hayo yangalijitokeza mbele yao ambavyo wao wasingaliweza kufanya hila za kuzikubalia taarifa hizo.

Sababu ya pili ni kwamba kumewahi kutokezea watu waongo na ambao walijiita MahdiError: Reference source not found, hivyo watu walikwisha choshwa na wazushi hao kiasi kwamba hawataki kumkubalia Mahdi a.s. wa kweli. Na hii ni mbinu ya kukwepa tu ambavyo hoja kama hizi hazikubaliki katika Islam.

Kwa hakika sisi hatuwajali wale wote wanaomkanusha MahdiError: Reference source not found a.s. kwa hoja zao zisizo na misingi wala faida. Lau hoja zao zingalikuwa halisi na za kimsingi basi kusingalikuwapo na Mahdi wazushi na wafuasi wao. Hapa sisi tunazingatia wale ambao wamejivika Umahdi katika miili yao isiyo toharifu. Kumekuwapo na Mahdi katika Banu Abbas, Banu Fatima,n. k. vile vile mabara yote ya Indo-Pak na Afrika imeshirikiana katika kupatikana kwao. Lakini historia imewakanyaga Mahdi wengi waongo na wazushi.

Tabia na desturi ya mwanadamu imekuwa daima ikivutiwa na mitindo na mambo mapya, vivyo hivyo ndivyo hao MahdiError: Reference source not found waongo ndivyo walivyoweza kufaidi na kuwavutia watu. Imesemekana kuwa wale wotakaomkimbilia Mahdi kwa pupa bila ya kuwa na maarifa kamili, basi wamepotoka - Halakal Mustaji'un!

Kwa hakika zipo Ahadith nyingi mno zilizo sahihi na kutegemewa kuhusu Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na hivyo hakuna mwanya wowote ule wa kutokezea Mahdi waongo. Lakini hao wazushi huwa watu wenye hila ambazo wao hujihusisha na ubashiri fulani na huweza kujitangaza kuwa wao ni Mahdi. Kwa bahati mbaya, wale wote wenye elimu ndogo wamekuwa daima wakiwakubali Mahdi kama hao na wakiwazunguka hadi kufa kwa Mahdi mzushi. Hivyo itakuwa ni vyema kwa kuchapisha habari kamili kuhusu Mahdi wa kweli ili mwanya wowote wa upotofu ufungwe kabisa. Faida ya pili ya uchapishaji kama huo utasaidia kuwapambanua Mahdi wazushi bila hata ya kutokezea magomvi na mafarakano.

Kwa mfano, kumekuwapo na kikundi kimoja ambacho kimedai kuwa Mtume Issa a.s. na Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ni mtu mmoja tu. Katika swala hili, iwapo mtu atakuwa akijua kuhusu ubashiri wa kuja kwa Imam Mahdi a.s. na kwamba Mtume Issa a.s. atamsaidia na atasali nyuma yake, basi swala hili litajitatua lenyewe bila ya kuzusha ubishi wowote. Vile vile itakuwa vyema iwapo tutajihusisha zaidi katika swala hili. Kuna hoja mbili katika wazo hili:

1. Masiha aliyeahidiwa hatakuwa Mahdi bali atakuwa akilingana naye

2. Ipo Hadith moja isemayo kuwa 'La Mahdi illa Masih' yaani hakutakuwapo na Mahdi illa ni Masihi.

Inawezekana kuthibitisha habari yoyote kama ni kweli kwa kutoa maelezo ya kimantiki. Popote pale panapozungumziwa ubashiri wa Mtume Issa a.s. katika Hadith, basi tujue waziwazi kuwa yeye atakuwa Issa bin Maryam na wala si mtu mwingine kama yeye. Na wala haipatikani Hadith kama hiyo katika maandishi ya Mashia.

Hadith kama hizo zinapatikana katika maandishi ya Masunni ambapo Wanazuoni wao wamezipuuzia na kusema kuwa walioziripoti ni watu dhaifu. Kinyume na hivyo, zipo Hadith nyingi mno ambazo zinaelezea na kuthibitisha kuwa Mtume Issa a.s. atakuwa Mwisraili na MahdiError: Reference source not found a.s. atatokana na kizazi cha Mtume Muhammad s.a.w.w Hivyo imetuwia dhahiri kuwa Mahdi na Masihi ni watu wawili walio tofauti kabisa.

Hao MahdiError: Reference source not found waongo wameleta hasara kubwa miongoni mwa jamii zetu na hivyo halitakuwa jambo la ajabu iwapo Mahdi a.s. wa kweli atapata upinzani. Hivyo inatulazimu kuwa na elimu kamili ya Mahdi a.s. wa kweli. Kwa hakika ulimwengu kwa hivi sasa umejaa matatizo na misiba, na hivyo kumjua mtetezi wetu moyoni mwetu ni jambo la kutufariji mno. Kitabu hiki ni kiungo kimoja cha elimu juu ya Imam Mahdi a.s.

Maandiko ya Mashia yamejaa kwa Ahadith kuhusu Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na kijitabu hiki sio cha kwanza kwa aina yake bali kina habari ambazo zitatuongoza kwa njia haki. Vile vile jambo la kututia moyo ni kwamba habari nyingi mno zimetolewa na Ahli Bayti a.s. ya Mtume s.a.w.w ambapo haziwezi kuwa ni habari za uzushi. Wanazuoni wa Kisunni wamethibitisha usahihi wa Ahadith hizo na wamekana wale wote ambao wanajaribu kupotosha ukweli na usahihi wa Ahadith na riwaya hizo.

Si kazi ngumu kukusanya Ahadith bali kazi iliyo ngumu kabisa ni ile ya kuthibitisha usahihi na ukweli wake hivyo ni vyema kuwadokezea mambo machache kuhusu hayo:

1. Maandiko mengi ya watu wa mji wa KufaError: Reference source not found yamepitia mabadiliko kabla ya kutufikia sisi. Wao wamekuwa na utaratibu tofauti wa maandiko yao na katika kuleta mabadiliko ya maandishi,kumeweza kutofautiana katika maana na maelezo. Mfano 'maberamu yatachomwa motoError: Reference source not found katika mitaa ya Kufa' au inapatikana hivi 'maberamu yatachanwa katika mitaa ya Kufa'. Mfano wa pili, ipo Hadith inayomzungumzia Auf-Salmi, ambaye makazi yake yanajulikana kama ni Tikrit na kwa mujibu wa maandiko ya Kufa inawezekana pia kupatikana kuwa ni Kuit. Miji yote hiyo miwili ipo Saudi Arabia na ni vigumu kuamua uhakiki wake. Kwa kuchukulia mojawapo ni lazima lakini uasili wa Maandiko ya Kufa yatapotea.

2. Katika riwaya na mapokezi, majina ya miji na mahala pengine yanatumika majina ya kale ambayo kwa sasa hayatumiki tena. Hivyo ni vyema kupata majina yanayotumika kwa sasa sambamba na majina ya kale ili Hadih hizo zieleweke vyema.

3. Taarifa kamili ya kimsingi ya Hadith itolewe, nani aliyeiripoti, mbele ya nani iliripotiwa, mahala pa kuripotiwa, n. k. , ili taarifa hizo ziweze kutambulisha vyema kuhusu Hadith hiyo.

4. Ahli Bayt a.s. ya Mtume Mtukufu s.a.w.w wamerekebisha kipindi katika nyanja mbalimbali za jamii ,maadili, kiuchumi, n. k. Hivyo Ahadith zinazozungumzia mambo ya ubashiri hayatakuwa na mushkeli kueleweka na kukubalika. Vile vile kuna mambo mengine manne pia, nayo ni:

a. Uhakiki,

b. Isiyo na uhakiki

c. Makhsusi,

d. Kawaida.

Ubashiri wowote ule ambao ni wenye uhakiki, basi hayo yatatokea tu katika hali yoyote ile. Na Mabashiri yale yasiyo na uhakiki yanaweza kutokea, inategemea. Mabashiri ya kawaida yanaweza kupatikana kila mahala. Na mabashiri makhsusi yamefungamanishwa na muda na mahala maalum. Ni matumaini kuwa mafungu haya ya uchambuzi yatasaidia kutambua matatizo na mabishano yoyote yatakayotokea.

5. Ahadith za ubashiri hazihitaji tafsiri au maelezo. Ama hayo yamekwishatokea au yatatokea kama vile yalivyoelezwa. Kwa watu kujaribu kuchambua kwa kuongezea chumvi na pilipili kutaongezea kuleta hali ngumu ya kueleweka na kufahamika.

Ninayo furaha kuwaelezea kuwa kitabu hiki cha Qayamat-i-Sughra kimejaribu kutimiza mahitaji na masharti kama hayo. Ni jambo la kuvutia kuona kuwa Qayamt-i-Sughra kinazungumzia mabashiri ambayo hayajatokea bado mfano uasi utakaoongozwa na Hasan Sayyed, Uchokozi wa SufianiError: Reference source not found, kuteketezwa kwa baadhi ya sehemu za Mashariki ya Kati ,n. k. mabashiri ambayo bado Mahdi wazushi hawajaweza kuzibashiri.

Kwa kumalizia mazungumzo haya, ninawaomba wasomaji wote wakisome kitabu hiki kwa makini sana na wala si kwa kuupoteza muda tu bali waweze kuzingatia makusudio ya kuandika kitabu hiki. Imethibitika kwa mamlaka ya QuranError: Reference source not found Tukufu na vile vile Ahadith kuwa ni lazima kuwepo na kiongozi wa Kidini katika ulimwengu na kwamba mtu yeyote yule atakayekufa bila ya kumjua Imam wa zama zake basi atakufa kifo cha ujahili. Hivyo elimu na maarifa ya Imam ni swala la Aakhera pia na ambapo ni faradhi kwa wanawake na wanaume wote kwa pamoja.

Mwishoni mwa kitabu hiki nimejaribu kuongezea makala juu ya uthibitisho wa kuwapo kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. kwa mujibu wa Wanazuoni wa Ahli Sunna ili msomaji aweze kutambua umuhimu wa Imam Mahdi a.s. katika madhehebu mengine ya Islam.

Amiraly M. H. Datoo
Bukoba, 5 Januari 1996
Kwa jina la Allah swt.

Watu walio hodari humu duniani wanakubali kuwa akili/busara ni mwongozo na mtoa ushauri wa mwanadamu. Huwa inamwongoza kuelekea mema na kumzuia na mabaya. Ni busara hiyo ambayo ndiyo inayomtofautisha mtu na mnyama na kumfanya awe kiumbe bora kuliko wote.

Allah swt anawaamrisha watu watumie busara katika kutatua matatizo yao. Allah swt anatuambia katika Qurani Tukufu kuwa 'aya zake kwa ajili ya wale wanaofikiri. ' Maneno machache kiasi gani lakini hayakosi hekima ndani yake. Iwapo tutafuata mambo kama vipofu basi hatutakuwa na tofauti na wanyama na labda tutakuwa dhalili kuliko hao kwa sababu mtu kama huyo inavyoonekana hajijali.

Busara bila ya elimu pia ni bure kwa sababu elimu ni nuru ya busara. Lakini elimu ni kiasi kidogo sana kwa kulinganisha na ukubwa wa ulimwengu. Allah swt anatuambia kuwa hatukupewa isipokuwa elimu kidogo tu, rejea 17:85. Hivyo ni ujahili mtupu iwapo sisi tutajigamba kwa elimu yetu kwa kutaka kukanusha sharia za Allah swt ambapo jambo la msingi ni kutokuelewa kwetu vyema masuala hayo.

Hivyo ni dhahiri kuwa yale yote ambayo yameelezwa na kubashiriwa katia Kitabu cha asili na kudura na yale ambayo yamesemwa na Mtume Mtukufu s.a.w.w hayawezi kamwe kuwa uongo ati kwa sababu sisi hatuelewi. Kila mmoja atakubaliana nasi iwapo tutasema kuwa kazi za kubuni na kufikiri hazina uhakika wowote mbele ya uchunguzi na matendo.

Kujitumbukiza katika mambo ya kubuni na uzushi ni tabia ya Shaitani kwani yeye alijitakabarisha kiasi cha kumuasi Allah swt. Kufuata elimu kwa njia sahihi ni kule kufanya uchunguzi na utafiti juu yake kabla ya kutekeleza. Mtume Muhammad s.a.w.w alisema kuwa "Mimi ni mji wa elimu na Ali ni mlango wake" na vile vile alisema kuwa "Mimi ni hazina ya elimu na Ali ni ufunguo wake". Kwa hivyo tumepata ushahidi wa Mtume Mtukufu s.a.w.w kuwa kuna shakhsiya waliobarikiwa elimu kwa kudura za Allah swt. Hivyo elimu yake Imam Ali a.s. haiwezi kupimika au kuelezeka.

Kwa hivyo ni faradhi kwetu sote kuamini na kusadiki yale yaliyoelezwa katika Qurani Tukufu na marejeo ya Qurani katika Ahadith za Mtume Mtukufu s.a.w.w na Mrithi wake Imam Ali a.s. na Ahali yake a.s. Haitupasi sisi kamwe kuzikataa semi zao ambazo sisi hatuzielewi kikamilifu. Kutoamini na kutosadiki huku katika Islam kunamfanya mtu akufuru.

Na mojawapo ya maudhui hayo ni kuhusu QayamaError: Reference source not found - ambayo ni mojawapo ya misingi ya Dini ya Islam. Hivyo kuna mabashiri mengi kabla ya kufikia Qayamah. Mambo yaliyobashiriwa yanapatikana katika QuranError: Reference source not found Tukufu na katika Ahadith. Katika mabashiri yote hayo kuna ubashiri mmoja muhimu kabisa wa kuja kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. Na ubashiri huu upo unapatikana katika Aya za Qurani Tukufu, Ahadith, misemo ya Wanazuoni wakuu na Mafuqahaa. Hivyo litakuwa ni jambo la kuaibisha iwapo atatokezea mtu kupinga ubashiri huo ati kwa sababu ya ujahili wake. Jee huyo mtu ataweza kukabiliana na Qurani, Ahadith na wanazuoni?

Waislamu wote kwa ujumla wanaamini kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ingawaje kuna tofauti kidogo. Mashiah wanaamini kuwa Imam Mahdi a.s. yu hai na yupo ghaibu (mafichoni) kama vile walivyo Mtume Issa a.s. , Ilyas, Khizr n. k. Kwa upande wa Masunni wao wanaamini kuwa yeye bado hajazaliwa na atajidhihirisha atakapofikia umri wa miaka arobaini. Kwa mukhtasari, Masunni wanaamini kuwa atakuwa ghaibu kwa kipindi cha miaka arobaini ambapo wanazuoni wakubwa wanaungana na Mashiah katika masuala hayo.

Kukanusha kuwapo kwa MahdiError: Reference source not found ni uthibitisho wa kufr, kwa sababu Mtume s.a.w.w amesema kuwa yeyote atakaye kataa kuwapo kwa Mahdi basi ni Kafiri. Jambo dogo kabisa linalo tuhakikishia kuwapo kwa Mahdi a.s. ni kule kutokezea kwa Mahdi-bandia ambao wapo wanapatikana katika historia. Kwa hivyo iwapo utataka nakala basi itatokana na nakala asilia, kama hakuna nakala asilia basi huwezi kupata nakala yake. Vile vile kuna habari kamili katika vitabu vya kale kuhusu Imam Mahdi a.s. , nasaba yake n. k. hivyo inatuwia rahisi kwetu sisi kuweza kutofautisha baina ya Mahid wa kweli na wale bandia. .

Hao MahdiError: Reference source not found bandia wameweza daima kuwazuzua wale wote waliokuwa majahili na wasio zijua sifa za Imam a.s. na ambao hawajui kuhusu ubashiri wa kuja kwa Imam Mahdi a.s. Hivyo ni faradhi kwetu sote kufahamu na kujua elimu na maarifa ya Imam a.s. hasa katika kipindi hiki kilichojaa kwa uovu na dhuluma za kila aina za Shaitani. Watu wengi hawana mapenzi na Dini, na hapa ndipo Shaitani anapopata nguvu na wafuasi wake katika mambo ya maasi. Dunia yetu inakaribia kuangamia kwani dalili za Qayama zipo mbele yetu hivyo kunakaribia kudhihiri kwa Imam Mahdi a.s.

Nimejaribu kuzikusanya mabashiri yote ya kuja kwa Imam Mahdi a.s. ambayo bado hayajatokea katika kitabu hiki na kukipa jina la Qayamat-i-Sughra ambapo ni matumaini yangu kuwa wasomaji wote watafaidika na kuifanya imani yetu kuwa madhubuti katika Dini na kujitayarisha kumpokea na kukutana na Imam Mahdi a.s. Mwokozi na mkombozi wetu sote !

Sababu ya kukipa jina hili la Qayamat-i-Sughra ni kwamba Imam MahdiError: Reference source not found a.s. hatadhihiri hadi hapo dunia nzima ichafuke kwa maonevu na dhuluma kwa kiasi cha kupindukia. Hivyo jina hili linamaanisha 'kipindi kitakachotangulia QayamaError: Reference source not found'

Kitabu hiki kimezungumzia na kugusia mambo mengi mno zikiwemo itikadi za watu, dini zao, mila na desturi, utamaduni, elimu,mawazo na fikara zao. Hivyo ninawaombeni nyote kunitumia maoni yenu kwa kukubalia maandiko au kuyapinga au kuyafafanua zaidi ili yanisaidie katika kuendeleza kazi hii iwe vyema zaidi hapo siku za mbeleni. Yote mutakayonitumia lazima ziwe na hoja na ufafanuzi mzuri kwani zitaweza kuingizwa katika chapa zitakazokuja.

Hatimaye ninatoa shukrani zangu za dhati kwa wote.

5 Januay 1996
Amiraly M. H. Datoo
P. O. Box 838,
Bukoba, Tanzania (E. Africa)
Nguzo ya tano katika Dini ya Islam ni kuamini katika QayamaError: Reference source not found. Na imani katika nguzo hii ni faradhi kwani ni siku moja maalum iliyokwisha pangwa, na swala la lini ni siri ya Allah swt na Waja wake makhsusi. Zipo mabashiri mengi yatakayotokezea kabla ya kuja kwa QayamaError: Reference source not found ...

Mtume Mtukufu s.a.w.w ameripotiwa kusema: "Zipo dalili kumi kutokezea kabla ya kuja kwa QayamaError: Reference source not found:

1. Uasi wa SufianiError: Reference source not found.

2. Kuja kwa DajjalError: Reference source not found

3. MotoError: Reference source not found na moshi

4. Dabbatul Ardh

5. Kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s.

6. Kuchomoza kwa jua kutoka Magharibi

7. Kuja kwa Mtume Issa a.s. kutokea mbinguni

8. Kuachinika kwa ardhi katika Mashariki

9. Kuachanika kwa ardhi katika Bara la Arabia

10. Moto Error: Reference source not foundundani mwa AdenError: Reference source not found ambayo itawakusanyisha watu katika ardhi tambarare. 1
________________________
1. Katika maneno ya Mtume Mtukufu s.a.w.w tumepatiwa ishara tu. Moto na moshi vinaweza kumaanisha mabomu ambayo yanapolipuka hutoa moto na moshi. Moto undani mwa Aden unaweza kusemwa kuwa moto katika matanki ya kuhifadhia mafuta ya petroli au visima vya mafuta vya Arabia. Tabaka za chini ya ardhi za Arabia yamejaa kwa mafuta.
Wale waliokuwa wakitoa ubashiri walikuwa wakiishi huko Bara la Arabia na walikuwa wakijua vyema kiwango fahamu za watu wenzao na hivyo tutaona kuwa ubashiri mwingi utazungumzia Mashariki ya Kati. Popote pale walipokuwa wakiulizwa maswali, wao walikuwa wakizingatia elimu na fahamu ya mwulizaji. Zipo jumla zingine zilizotumika kijumla kama 'ardhi' n. k. katika mabashiri.

Jambo lingine la kukumbuka ni kwamba kumetokea mabadiliko na hata kamili katika mazingira na kisiasa kuanzia wakati huo. Majina ya miji imebadilika na miji mingi kuangamizwa kabisa na ikatoweka. Na miji mipya kutokezea. Hivyo ni ombi kwa msomaji kujaribu kupitia vitabu vya jiografia vya mambo ya kale ili aweze kupata ufafanuzi zaidi.

IIikuwa ni desturi ya Waarabu kujulikana kwa majina ya baba, familia au ukoo, hivyo ndivyo ilivyo tumika muundo huo huo katika majina humu kitabuni.

Ubashiri wa kuja kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. umegawanywa na kuchambuliwa kama ifuatavyo:

(1) Ubashiri wa kawaida,
(2) Ubashiri maalum na
(3) Ubashiri wa lazima.
(1). Ubashiri wa Kawaida
Abdullah ibn Abbas (r. a. ) amesema kuwa baada ya kumaliza Hajj ya mwisho (mwaka wa 10 Hijriyyah), Mtume Mtukufu s.a.w.w alisimama mbele ya mlango wa Ka'aba Tukufu, akiwa ameshikilia komeo ya mlango, huku akiwauliza ma-Sahaba wake: "Je, nikuambieni dalili za siku ya QayamaError: Reference source not found?" Salman Farsi (r. a. ) ambaye alikuwa karibu naye,alisema: "Ndiyo, Ewe Mtume wa Allah swt. "

Mtume Mtukufu s.a.w.w akasema, "Hakika, miongoni mwa dalili za saa, ni kuwa:

(1) watu watapuuza salaError: Reference source not found,

(2) watafuata matamanio yao wenyewe

(3) wataelekeza kujipendelea wao wenyewe,watawaheshimu matajiri

(4) na watauza Dini yao kwa manufaa ya kidunia

(5) wakati huo roho na moyo wa Muumin itayayuka (kwa huzuni) kama chumvi inavyoyayuka katika maji,kwa sababu ataona mambo yaliyoharamishwa na hataweza kuyabadili. "

Salman akasema: "Haya yatatokea,ewe Mtume wa Allah swt?"

Mtume Mtukufu s.a.w.w akasema: "Ndiyo,naapa kwa Aliyonayo roho yangu mkononi mwake. "

"Ewe Salman,:

(6) wakati huo watawala watakuwa wadhalimu

(7) Mawaziri watakuwa waasi,

(8) na wadhamini (wale waliopewa amana kwa kuaminiwa) watafanya hiana

(9) hakika wakati huo maovu yatakuwa mema na mema yatakuwa maovu

(10) wale wafanyao hiana wataaminiwa na waaminifu watafikiriwa kuwa si waaminifu;

(11) na mwongo atasadikiwa,na msema kweli atahesabiwa mwongo

(12) Wakati huo kutakuwapo na utawala wa wanawakeError: Reference source not found

(13) Masuria watashauriwa

(14) na watoto watakaa juu ya mimbarError: Reference source not found

(15) udanganyifu utahesabiwa kuwa ni uerevu

(16) na Zaka itakuwa ni kama kutozwa faini;

(17) na mateka ya vita (yaani mali ya ummahError: Reference source not found) yatakuwa kama ni mali ya mtu binafsi;

(18) na mtu atakuwa mjeuri kwa wazazi wake na atakuwa mwema kwa marafiki zake

(19) na wakati huo kutatokea na nyotaError: Reference source not found zenye mikia (comets). "

Salman akasema: "Haya yatatokea, ewe Mtume wa Allah swt?"

Mtume Mtukufu s.a.w.w akasema: "Ndiyo, naapa kwa Aliyonayo roho yangu mkononi mwake. "

"Ewe Salman!:

(20) wakati huo mwanamke atakuwa mshiriki wa mumewe katika biashara,

(21) na mvuaError: Reference source not found itakuwa motoError: Reference source not found sana

(22) na watu wema watabaki katika huzuni;

(23) na masikini hawata heshimiwa;

(24) na wakati huo masoko yatakaribiana,

(25) Tena huyu atasema,"Mimi sikuuza chochote, na yule atasema, "Mimi sikupata faida yoyote. " Kwa hivyo hutamkuta mtu yeyote asiyemlalamikia Allah swt.

"Ewe Salman!

(26) tena itatokea iwapo watu watawazungumzia watawala wao, watawaua, na ikiwa watanyamaza kimya, watanyang'anywa mali yao, watanyimwa heshima zao, watamwaga damuError: Reference source not found yao na mioyo ya watu itajaa woga; kisha hutamwona mtu yeyote ila atakuwa mwoga, mwenye khofu, ametishika na ameshstushwa”

"Ewe Salman!

(27) Bila shaka wakati huo mambo fulani yataletwa kutoka Mashariki

(28) na mambo fulani yataletwa kutoka Magharibi,

(29) Basi ole kwa watu walio dhaifu (wa imani) katika UmmahError: Reference source not found wangu kutokana na hayo; Ole ya Allah swt iwe kwa hayo. Wao hawatakuwa na huruma juu ya wadogo wao, wala hawatamsamehe yeyote aliyefanya kosa. Miili yao itakuwa ya wanadamu, lakini mioyo yao itakuwa ya mashetani. "

"Ewe Salman!

(30) Wakati huo wanaumeError: Reference source not found watawaashiki wanaume,

(31) na wanawakeError: Reference source not found watawaashiki wanawake;

(32) na watoto wa kiume watapambwa kama wanawake;

(33) na wanaume watajifanya kama wanawake

(34) na wanawake wataonekana kama wanaume;

(35) na wanawake watapanda mapando (farasi na ngamia)

(36) Hapo tena patakuwepo laana ya Allah swt juu ya wanawake wa UmmahError: Reference source not found wangu. "

"Ewe Salman!

(37) Bila shaka wakati huo MisikitiError: Reference source not found itapambwa (kwa dhahabu n. k. ) kama inavyofanywa katika masinagogi na makanisa,

(38) na QuranError: Reference source not found zitapambwa (kwa nakshi na rangi za kupendeza n. k. )

(39) na minara ( ya misikiti) itakuwa mirefu; na safu za watu wanaosimama katika salaError: Reference source not found zitazidi, lakini nyoyo zao zitachukiana na maneno yao yatatofautiana. "

"Ewe Salman!

(40) Wakati huo wanaumeError: Reference source not found watatumia mapambo ya dhahabu; kisha watavaa hariri,n a watatumia ngozi za chui. "

"Ewe Salman!

(41) Wakati huo ribaError: Reference source not found itakuwako,

(42) na watu watafanyia biashara kwa kusemana na rushwa

(43) na dini itawekwa chini, na dunia itanyanyuliwa juu. "

"Ewe Salman!

(44) Wakati huo talaqaError: Reference source not found zitazidi

(45) na Sheria ya Allah swt haitasimamishwa. Lakini hayo hayatamdhuru Allah swt. "

"Ewe Salman!

(46) Wakati huo watatokea wanawakeError: Reference source not found waimbaji,

(47) na ala za muziki

(48) na wabaya kabisa watawatawala UmmahError: Reference source not found wangu. "

"Ewe Salman!

(49) Wakati huo matajiri katika UmmahError: Reference source not found wangu watakwenda Kuhiji kwa matembezi, na walio wastani kwa biashara,na masikini kwa kujionyesha.

(50) Hivyo basi wakati huo watakuwapo watu ambao watajifundisha QuranError: Reference source not found si kwa ajili ya Allah swt na wataifanya QuranError: Reference source not found kama ala ya muziki.

(51) Na watakuwapo watu ambao watasoma dini si kwa ajili ya Allah swt

(52) na idadi ya wanaharamu itazidi

(53) watu wataiimba QuranError: Reference source not found,

(54) na watu watavamiana kwa uroho wa kidunia. "

"Ewe Salman!

(55) Haya yatatokea wakati heshima zitakapoondoka, na madhambi yatatendwa

(56) na watu waovu watakuwa na uwezo juu ya watu wema,

(57) na uongo utaenea na mabishano (matusiError: Reference source not found) yatatokea

(58) na umasikini utaenea,

(59) na watu watajivuna kwa mavazi yao

(60) na itakuwepo mvuaError: Reference source not found wakati si wake

(61) na watu watacheza dama, kamari na Ala za muziki,

(62) na hawatapenda kuhimizana mema wala kukatazana maovu

(63) na kwa ajili hali itakavyokuwa hata itafikia wakati huo kuwa Muumin atakuwa na heshima ndogo kuliko hata mjakazi

(64) na wanaosoma na wanaotumia wakati wao katika kumwabudu Allah swt watalaumiana.

(65) Hao ndio watu watakaoitwa wachafu na wanajisi katika Ufalme wa mbinguni. "

"Ewe Salman!

(66) Wakati huo matajiri hawataogopa chochote isipokuwa mtu masikini; hadi kwamba masikini wataendelea kuomba kati ya ijumaa mbili, na hawatamwona mtu yeyote wa kutia chochote mikononi mwao. "

"Ewe Salman!

(67) Wakati huo itazungumzwa Ruwaibidhah. "

Salman akauliza: "Ni nini Ruwaibidhah ? Ewe Mtume wa Allah swt, baba na mama yangu wawe fidia kwako. "

Mtukufu Mtume s.a.w.w akajibu:

(68) "Watu fulani watazungumza kuhusu mambo ya watu ambayo hayakuwahi kuzungumzwa namna hii zamani.

(69) Tena baada ya muda mchache machafuko yatatokea duniani,na kila nchi itafikiri kuwa machafuko yapo katika nchi yao tu. "

(70) "Watabaki katika hali hiyo kwa muda ambao Allah swt atapenda wabaki;

(71) kisha ardhi itatapika vipande vya moyo wake dhahabu, fedha na madini mengineyo;

(Hapo Mtume s.a.w.w ) alinyosha kidole chake penye nguzo, na akasema: "Kama hizi (kwa ukubwa), lakini siku hiyo dhahabu wala fedha hazitamsaidia mtu yeyote. Na hii ndiyo maana ya maneno ya Allah swt 'Hakika dalili Zake zimekuja. '1

Zipo habari zingine zilizoelezwa katika vitabu vinginevyo kwa kupitia Jabir Ibn Abdullah Ansari, ambavyo ninazitaja:

"Ewe Salman! Wakati huo:

(1) Wazee watajitumbukiza katika mambo ya ushirikina na uchawi,

(2) ghiba ndiyo itakuwa mazungumzo yenye kupendeza,

(3) mali iliyopatikana kwa njia za haramu, itachukuliwa kama ndiyo neema,

(4) wazee hawatakuwa na mapenzi ya wadogo na vile vile wadogo hawatawajali wazee na kuwaheshimu

(5) Islam itabakia kwa jina tu kwani wafuasi wake hawatakuwa wakifuata maadili na maamrisho yake,

(6) Kimbunga kikubwa cha rangi nyekundu kitatokezea mbinguni na kutaanguka mawe kutoka mbinguni

(7) nyuso zitakuwa za kuchukiza

(8) kutakuwa na mitetemeko na kuporomoka kwa ardhi kila mara.

Hapo Sahaba walimwuliza Mtume s.a.w.w , "Ewe Mtume wa Allah swt, je lini yatakapotokea hayo yote?" (pamoja na nishani na dalili za hapo juu, baadhi zimeongezeka hapa chini)

Mtume s.a.w.w aliwajibu:

(9) Watu watakuwa watumwa wa shahwa au matamanio yao

(10) watu watakuwa walevi wa kupindukia kwani matumizi ya uleviError: Reference source not found utakithiri na utakuwa ukipatikana kwa udhahiri bila ya watu kuona aibu ya aina yoyote,

(11) Wanaume watakuwa wakiwatii wake zao,

(12) jirani atakuwa wakiwaudhi na kuwatesa majirani wenzake,

(13) Wakubwa hawatakuwa watu wenye huruma, mioyo yao itakuwa imejaa kwa maonevu,

(14) vijana hawatakuwa na heshima

(15) watu watajenga majumba imara na marefu mno,

(16) wafanyakazi watadhulumiwa hakiError: Reference source not found zao,

(17) ushahidi wa kiuongo utachukuliwa kuwa wa kawaida,

(18) ndugu atakuwa akimwonea wivu ndugu yake halisi

(19) watu watakaokuwa wakifanya biashara kwa ushirika, basi watakuwa daima wakifikiriana mbinu za kumdhulumu mwenzake,

(20) mambo ya zinaaError: Reference source not found yatakuwa kama kawaida kwani yatatendeka na kusikika pia.

(21) ile mioyo ya kutaka kusaidia watu wengine itakuwa imetoweka,

(22) Maasi na dhuluma itaongezeka kupita kiasi,

(23) matumbo ya watu itachukuliwa kuwa ndiyo miungu yao, kwani hawatajali kiwevyo, ilimradi wapate chochote kile,

(24) wanawakeError: Reference source not found watakuwa wakitawala akili za wanaumeError: Reference source not found na watakuwa wakiwaendesha wanaume vile watakavyo wao,

(25) kutatokea Maulamaa au wanazuoni waovu kabisa kwani watajionyesha kuwa ni wacha Mungu na wenye elimu, ambapo kwa hakika watakuwa waroho wa mali ya dunia tu. "

Hapo Mtume Mtukufu s.a.w.w aliwaonya: "Kumbukeni, wakati kama huo utakapokuja, basi Allah swt atatumbukiza watu katika balaaError: Reference source not found za aina nne:

(1) kutawaliwa na watawala dhalimu
(2) ukame na vitu vya matumizi ya kila siku kuwa bei ghali yaani kupanda kwa maisha,
(3) dhuluma za watawala
(4) kuabudu miungu. "

Sahaba waliposikia hayo walishtushwa na kuuliza: "Ewe Mtume wa Allah swt ! Je kweli kuwa Mwislamu atakuwa akiabudu miungu na masanamu?"

Mtume s.a.w.w aliwajibu: "Naam! Kwao mapesa yatakuwa kama miungu kwani watakuwa wakiziabudu kupindukia kiasi. "

Kwa hakika sisi tunayashuhudia haya yote yakitokea ambayo Mtume s.a.w.w amekwisha bashiri karibu karne kumi na nne zilizokwishapita. Imam Ali a.s. katika khutba yake ijulikanayo kama Al-Bayan anaelezea ubashiri kwa undani zaidi. Wasomaji wenye kutaka kupata habari zaidi wanaweza kutazama (1) Yanabi-ul-Muwaddah (2) Basharat-ul-Islam, Sayyid Mustafa Ali-Sayyid Haider al-Kazami, chapa ya BaghdadError: Reference source not found.
Ubashiri ya Imam Ja’far As-Sadiq A.S.
Mazungumzo yafuatayo yamefanywa na Imam Jaafer as-Sadiq a.s. ambamo ameripoti ubashiri wa siku za mwisho wa dunia hii. Yametolewa kutoka Darul Islam, Bihar-ul-Anwar na Raudhat-ul-Kafi. Wanaoripoti habari hizo ni Allamah Naraqi na Sheikh Kulaini r. a. kutokea kwa Himran.

Imam a.s. alisema:

(1) "Haki itakuwa imetokomezwa na watu walio katika hakiError: Reference source not found hawatapatikana.
(2) Dhulma na uonevu utaenea katika miji yote.
(3) Kufuata QuranError: Reference source not found kimatendo itajulikana kama tabia ya kizamani.
(4) Zitatolewa maana ya Aya za QuranError: Reference source not found kwa mujibu wa matakwa ya watu, hivyo mafhum ya Quran itakuwa imebadilishwa na kupotoshwa.
(5) Wadhalimu watakuwa wakiwa kandamiza wale walio katika haki.
(6) Uchokozi na uchochezi utatokea kutoka kila pande na pembe.
(7) Matendo maovu na kukosa aibu vitaenea na kuzagaa kila mahala.
(8) UlawitiError: Reference source not found utakuwa ni jambo la kawaida.
(9) Muumin atakuwa akionekana kama mtu dhalili ilhali waovu watakuwa wakiheshimiwa
(10) Vijana hawatakuwa wakiwaheshimu wakubwa wao
(11) Huruma itakuwa imepotea kabisa.
(12) Waovu watakuwa wakitukuzwa kwa udhalimu wao na hakutakuwapo na mtu yeyote wa kuwapinga.
(13) Wanaume watafurahishwa mno kwa kuingiliana na wanaumeError: Reference source not found wenzao.
(14) Wanawake watawaoa wanawakeError: Reference source not found wenzao.
(15) Mapesa yatatumika kwa ajili ya matumizi yale yaliyo haramishwa na Allah swt.
(16) Starehe, anasa na zinaaError: Reference source not found zitashamiri.
(17) ZinaaError: Reference source not found itajulikana kama maadili yaliyopitwa na muda.
(18) Muumin atatengwa kwa sababu ya kufanya ibada za Allah swt.
(19) Jirani mmoja atafurahi mno kwa kumuudhi na kumbughudhi jirani mwenzake.
(20) Wazushi (kama Salman Rushdie wa Uingereza) watatukuzwa na kusifiwa katika kueneza fitina na yale wanayozusha.
(21) Ushauri mzuri utakanwa.
(22) Milango ya wema yatafungwa wakati milango ya maovu yatafunguliwa.
(23) Al-KaabaError: Reference source not found haitatumika au haitafikika kwa sababu ya vikwazo na ugumu utakaowekewa mahujaji.
(24) Watu watalazimishwa kuacha kwenda MakkahError: Reference source not found kuhiji.
(25) Watu hawatakuwa wakitimiza ahadi zao watakazokuwa wakizitoa.
(26) Wanaume watakuwa wakitumia dawa za kuamsha tamaa za kiume kwa ajili kulawiti na wanawakeError: Reference source not found watakuwa wakitumia vyakula vya mafuta ili kujitayarisha kwayo.
(27) Baadhi ya wanaume watakuwa wakiishi kwa kujipatia mapesa kwa kuuza mikundu yao
(28 ) na wanawake watakuwa wakijipatia mapesa kwa kufanyisha biashara uuke wao.
(29) Wanawake wataunda vilabu vyao, mashirika na umoja wao.
(30) Wanaume atajigeuza kama wanawake na watavutia na wanawake.
(31) Wanaume watajirembesha kama wanawake.
(32) Ulawiti utachukuliwa kama ndiyo ustaarabu na starehe ya kweli. Na Banu Abbas watalipia ulawiti.
(33) Wanawake wataona fakhari kwa kuwa na waume nje ya mume mmoja wa ndoa na vivyo hivyo wanaumeError: Reference source not found watakuwa hivyo hivyo.
(34) Heshima itakuwa ikitolewa kwa utajiri wa mtu na wala si ucha Mungu.
(35) ribaError: Reference source not found ndiyo itakayokuwa biashara ya kila siku.
(36) Ushahidi wa uongo utakuwa ukisadikiwa mno.
(37) Kile alichokiharamisha Allah swt kitachukuliwa ni halali na chochote kile alichokihalalisha Allah swt kitachukuliwa ni haramu.
(38) Maamrisho ya Dini yatageuzwa kwa mujibu wa matakwa yao.
(39) Wachokozi na waovu watatenda maovu kwa udhahiri bila ya khofu yoyote ile na Muumin hawataweza kuwazuia vyovyote vile.
(40) Watawala watawapenda mno Makafiri kuliko Muumiin.
(41) RushwaError: Reference source not found ndiyo itakuwa njia ya kujitimizia kazi kutoka maofIssa wanaohusika.
(42) Wanaume wata walawiti wake zao.
(43) Watu watakuwa wakiuawa kwa visingizio vidogo vidogo na magomvi madogo madogo.
(44) Wanawake watawafanyia wanaume dhihaka, nao watashawishiwa kufanya uhusiano na wanawakeError: Reference source not found.
(45) Wanaume wataishi kwa mapato ya wake zao zitakazopatikana kwa zinaaError: Reference source not found.
(46) Wanawake watakuwa wakiendesha hukumu majumbani huku wanaume wakiwatii wake zao kwa sababu wanawake hao ndio watakuwa wenye mapato.
(47) Wanawake watatumiwa katika kupatikana huduma mbalimbali.
(48) Kula kiapo kwa jina la Allah swt litakuwa ni jambo lililowekwa ulimini.
(49) PombeError: Reference source not found na kamari vitapatikana kila mahala na vitakuwa vimezagaa.
(50) wanawakeError: Reference source not found wa Kiislamu wataingiliana na Makafiri, ambapo Waislamu hawataweza kuwazuia na wala hawatakuwa na uwezo kama huo.
(51) Maadui wetu watasaidiwa na watawala na marafiki zetu watadhalilishwa kiasi kwamba hata kiapo chao hakitakubaliwa.
(52) Udanganyifu na hila ndizo zitakuwa desturi miongoni mwa watu.
(53) Usomaji na usikilizaji wa QuranError: Reference source not found utakuwa ni bughudha kwa watu.
(54) Kusikiliza mambo fidhuli ndiyo itakuwa ikipendelewa na watu.
(55) Jirani hatamstahi jirani mwenzake illa kwa khofu ya ulimi mkali na mchafu.
(56) Sheria na kanuni za Allah swt hazitatambuliwa na waovu hawataadhibiwa kwa maamrisho hayo.
(57) Ghiba na kulaghaiana ndivyo vitakuwa vitu vya kawaida.
(58) Madhumuni ya Hajj na Jihad yatakuwa mbali na yale ya Kiislamu.
(59) MisikitiError: Reference source not found itarembeshwa kwa dhahabu.
(60) Watawala watawataka ushauri kwa nia ya Makafiri.
(61) Litakuwa ni jambo la kawaida kuibia katika uzani na vipimo vya biashara.
(62) Kumwaga damuError: Reference source not found ya watu wegine litakuwa ni jambo la kawaida.
(63) Watu watajigamba kwa ndimi zao chafu zenye matusiError: Reference source not found mabaya ili kuwatishia watu wengine.

Imam a.s. aliendelea kusema:

(64) "Watu watakuwa wakipuuzia salaError: Reference source not found na kutojali.
(65) Watu hawatakuwa wakilipa zakaError: Reference source not found ingawaje watakuwa na utajiri mkubwa.
(66) Sanda za maiti zitakuwa zikiibiwa na kuuzwa tena
(67) Mauaji yatakithiri mno kiasi kwamba hata wanyama pia wataanza kuuana wenyewe kwa wenyewe.
(68) Watu watakuwa wakisali katika mavazi ya kiajabu.
(69) Macho na mioyo itapoteza nuru zao za heshima na huruma.
(70) Watu watakuwa wamejishughulisha na maswala ya kutafuta mali na mapesa tu.
(71) Watu watasali kwa kuonyesha tu.
(72) Watu watatafuta elimu ya Dini kwa ajili ya kujipatia mali ya dunia.
(73) Ushirika katika makundi yatakuwa ndiyo mambo ya maisha.
(74) Wale watakaojipatia riziki kwa njia ya halali, watasifiwa kwa midomo tu.
(75) Matendo maovu na machafu yataenea hata MakkahError: Reference source not found na MadinaError: Reference source not found.
(76) Watu waliokufa watafanyiwa mizaha na vichekesho.
(77) Mwaka hadi mwaka hali itakuwa ikiendelea kuharibika kuwa mbaya zaidi.
(78) Matajiri wataigwa.
(79) Masikini, mafukara watafanyiwa dhihaka na kufedheheshwa.
(80) Matukio ya kudura kama yale ya mitetemeko, maporomoko n. k. yatakuwapo lakini watu watakuwa hawaviogopi.
(81) Matendo maovu yatakuwa yakitendwa kiwaziwazi.
(82) Wazazi watatupa watoto wao na watoto watawatusi wazazi wao na daima watakuwa wakitaka mali na utajiri wa wazazi wao.
(83) Wanawake hawatawatii na kuwafuata waumeError: Reference source not found wao.
(84) Siku itakayopita bila ya mtu kutenda madhambi, basi itachukuliwa ni siku yenye nuksi.
(85) Watu wenye uwezo wataficha mali muhimu na kuviuza kwa bei ya ulanguzi.
(86) Waombaji na walaghai watajumuika katika kucheza kamari na kulewa.
(87) PombeError: Reference source not found itatumika kama ni kitu chenye kuponya yaani dawa.
(88) Makafiri watatukuzwa juu ya watu wengine na Muumin watadhalilishwa na kupuuzwa.
(89) Kutafanywa malipo kwa ajili ya kutoa Adhan na salaError: Reference source not found.
(90) MisikitiError: Reference source not found itajaa kwa watu wasiokuwa na khofu ya Allah swt.
(91) Watu wenye fahamu na akili kasoro ndio watakaokuwa wakiongoza salaError: Reference source not found za jamaa' na watu kama hao kamwe hawatashutumiwa au kusutwa na badili yake wataheshimiwa. "
(2) Ubashiri Maalum
Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema: "Kabla ya kuja kwa QayamaError: Reference source not found, vitu vitatu vitakuwa vya kawaida

(1) ugonjwa wa bawasiri,
(2) vifoError: Reference source not found vya ghafla,
(3) Saratani ya damuError: Reference source not found.

Vile vile Mtukufu Mtume s.a.w.w amesema: "Mojawapo ya sharti kwa kuja Siku ya QayamaError: Reference source not found ni motoError: Reference source not found utakaotanda Mashariki hadi Magharibi. "

Ameendelea kusema, "Idadi ya wanawakeError: Reference source not found itazidi idadi ya wanaumeError: Reference source not found kwa uwiano wa wanawake hamsini kwa mwanamme mmoja. "
Kuangamizwa Kwa Nchi Na Miji Mbalimbali
Mwanachuoni mkuu wa Kisunni Mohiuddin, ameandika katika Muhadherat-ul-Abrar na Muthammerat-ul-Akhyar, riwaya kutoka Ilyas, mtiririko hadi kumalizikia kwa Hudhaifah, kuwa Mtume Mtukufu s.a.w.w alisema:

1. "MisriError: Reference source not found haitaangamizwa hadi hapo BasraError: Reference source not found imeteketezwa, Basra itateketezwa kwa sababu ya IraqError: Reference source not found na Misri itaangamizwa kwa sababu ya mto Nile.

2. MakkahError: Reference source not found itatekwa na Ethiopia.

3. MadinaError: Reference source not found itakumbwa na mafuriko.

4. YemenError: Reference source not found itateketezwa na ndui.

5. Eila itaangamizwa kabisa katika kutekwa.

6. Uajemi utatekwa na Saalik kutoka Dailam na Dailam atatimuliwa na Waarmenia na wao watatekwa na WaturukiError: Reference source not found.

7. Waturuki watakumbwa na kuangamizwa kwa radi.

8. Sind itatolewa na IndiaError: Reference source not found

9. na India itapinduliwa na Wachina.

10. Error: Reference source not foundChinaError: Reference source not found itaharibiwa na mchanga au nzigeError: Reference source not found.

11. Rafdha itaipoteza Ethiopia.

12. SufianiError: Reference source not found atawatilia vikwazo wale wanaokwenda kuzuru makaburi ya Mtume Mtukufu s.a.w.w na Maimamu a.s.

13. Ramla itateketezwa nusu na

14. Iraq itakumbwa na ukame.
Mitume Sitini Bandia
Abdullah ibn Umar anaripoti kuwa Mtume Mtukufu s.a.w.w alisema: "QayamaError: Reference source not found haitakuja hadi MahdiError: Reference source not found atakapodhihiri kutokana na kizazi changu; na yeye pia hatajitambulisha hadi hapo patakapotokea watu sitini watakaodai kuwa wao ni mitume (bandia). "
Vita Pamoja Na Weupe Na Maangamizo
Imeripotiwa katika kitabu cha Aqdud Dur cha Auf Ibn Malik kuwa mimi nilimwijia Mtume s.a.w.w ambapo alipokuwa ameketi katia hema lenye rangi ya udongo. Kwa utaratibu alitawadha na kuniambia, "QayamaError: Reference source not found inasubiri ubashiri sita:

(1)mvuaError: Reference source not found ya changarawe kutoka mbinguni (labda inaweza kumaanisha kuporomoka kwa mabomuError: Reference source not found na matokeo yake). Hili ndilo la kwanza. "

Mimi nilimjibu: "Naam, Bwana wangu!"

Aliendelea Mtume Mtukufu s.a.w.w:

(2) "Ushindi wa kuishinda JerusalemError: Reference source not found.
(3) Mauaji kupindukia kiasi. Watu watakuwa wakiuawa kama ng'ombe na mbuzi.
(4) Kuzidi kwa mali ambayo haitoshelezi kukamilisha matakwa ya mtu.
(5) Yatatokea magomvi na hakuna hata nyumba moja itakayobakia salama bila ya kukumbwa na magomvi hayo.
(6) Watu weupe watawageuka. Wao watakushambulieni katika mabatalioni themanini na kila batalioni litakuwa na askari kumi na mbili elfu.
Kuteketezwa kwa Baadhi ya Miji
Katika Manaqib ya Ibn Shahar Ashub imerekodiwa kutoka kwa Qatada ambaye ameripoti kutoka Saeed Ibn Musayyab: "Imam Ali a.s. aliulizwa juu ya Aya ya QuranError: Reference source not found Tukufu: Na hakuna taifa lolote ila alipita humo Muonyaji.’ Hapo Imam Ali a.s. alitoa tafsiri ndefu mno na humo alitoa ubashiri wa kuangamizwa kwa baadhi ya miji.

1. Samarqand, Jaj, Khwazim, Isfehan na KufaError: Reference source not found vitaharibiwa na WaturukiError: Reference source not found. (Hapa Waturuki wanamaanishwa WarusiError: Reference source not found) .

2. Hamadan na Ray yataangamizwa na watu wa Kazvin.

3. Tabrusa, MadinaError: Reference source not found na sehemu ya Ghuba ya Uajemi yatakumbwa na ukame na njaa.

4. MakkahError: Reference source not found itatekwa na Ethopia.

5. BasraError: Reference source not found na Balkh yatazama majini.

6. Sind itatwaliwa na India.

7. Error: Reference source not foundIndia na Tibet

8. Tibet na ChinaError: Reference source not found.

9. Majeshi yatatetemesha Badakshan, Saani Kirman na baadhi ya sehemu za SyriaError: Reference source not found.

10. YemenError: Reference source not found itaangamizwa na watawala

11. Sijistan na baadhi ya sehemu za Syria zitaangamizwa kwa gesi

12. Saman itaangamizwa na magonjwa na nzigeError: Reference source not found wataiharibu Marv

13. Nyoka watua viumbe katika Hirat

14. Naishapur itateketezwa.

15. Azarbaijan itavamiwa na majeshi na radi kali zitapiga (labda kwa sababu ya mabomuError: Reference source not found)

16. Mto Nile utafurika

17. Bokhara itazama majini

18. Kutakuwapo na ukame na miji ya Salam na BaghdadError: Reference source not found itaangamizwa.
Ubashiri wa Ziada wa Imam Ali A. S.
Abu Abdullah Jafar ibn Muhammad anaripoti kutoka kwa Imam Husain a.s. ambaye alimwuliza baba yake: "Tafadhali sana baba naomba utuambie ni lini Allah s.w.t. ataitakasa ardhi kutokana na watu waovu?"

Imam Ali a.s. alimjibu: "Ardhi haitaweza kamwe kutakasika hadi hapo damuError: Reference source not found ya wazushi itakapokuwa imekwisha mwagika kikamilifu. " Imam Ali a.s. akizungumzia tawala za Banu Umaya na Bani Abbas, alisema: "Kabla ya kuja kwa Qaim kutatokezea mtu mmoja Sayyid Hasani atakayejiweka huko Khorasan. Yeye ataiteka Kirman na Multan. Na hapo baadaye ataendelea mbele kuelekea BasraError: Reference source not found. Qaim kutokana na sisi, atajitokezea katika Jilan. Watu wa Astrabad na Kazvin watamtii. Baadaye kutatokezea kupandishwa kwa benderaError: Reference source not found za Uturuki. Hapo kutakuja kutokezea vita vikali mno. Hapo ndipo Basra itakapokuja kuangamizwa na makao makuu ya Waarabu itakuja kuwa MisriError: Reference source not found. Imam Ali a.s. aliendelea kusema hadithi moja iliyokuwa ndefu ya tukio, na alisema: “Mikuki itaimarishwa na kusimamishwa na watu walio dhaifu na wastani watawaua watu walio wema.”
Vifo Vyeupe na Vyekundu
Kuhusu kifo cheupe na chekundu, Imam Ali a.s. alisema: “Kabla ya kudhihiri kwa al-Qaim a.s. kutatokezea kwa aina mbili za vifoError: Reference source not found - nyekundu na nyeupe. Kwa nyekundu kunamaanisha damuError: Reference source not found yaani kumwagika kwa damu nyingi mno kwa sababu za vita na mauaji ya aina mbalimbali. Na kifo cheupe kinamaanisha kuzuka kwa maafaError: Reference source not found ya magonjwa ambayo yatakuwa daima yakienea na kuzuka kila mahala.”

Tanbihi: Kwa vifoError: Reference source not found vyekundu hapo juu tunaelewa kuwa kutakuwapo na vita vya kutisha mno ambapo damuError: Reference source not found itakuwa ikimwagika kutoka kila pembe ya dunia. Tunasikia kila siku katika maredio na televisheni vile dunia yetu hii ilivyokumbwa na mauaji kila pande. Na ama kuhusiana na kifo cheupe, tunasikia vile magonjwa mbalimbali ya saratani, ukimwi n. k. yanayoua watu kwa mamilioni.
Syria na Iraq
Imam Ali a.s. alisema: "Kutazuka vita katika SyriaError: Reference source not found na itashambuliwa kwa mabomuError: Reference source not found. Katika matokeo yake takriban watu laki moja watakuwa wameuawa. Allah swt atabariki Waumin na kuwaadhibu Makafiri. Ole wenu wakati huo!" Farasi wakiwa na mabendera ya rangi ya njano watatokezea Magharibi. Wao watafika Syria na huko kuna kijiji kimoja kiitwacho Harsa au Kharsa ambacho kitadidimia ardhini. Muwe tahadhari kwa hayo! Ni ubashiri kuwa kutakuwapo na uasi wa SufianiError: Reference source not found ambaye atatokezea kutoka mabonde makavu ya PalestinaError: Reference source not found (vitabu vya zamani vya jiografia vinaelezea kuwa Kharsa au Harsa ipo karibu na Damascus huko Syria).
Kuzingirwa kwa Mji wa Kufa
Asbagh ibn Nabata anaripotiwa kusema: "Sisi tulisikia tafsiri ya Aya ifuatayo ya QuranError: Reference source not found Tukufu kutoka kwa Imam Ali a.s. Kisha tukakurudishieni nguvu zenu juu yao na tukakuongezeeni mali na watoto na tukakufanyeni wenye kundi kubwa kuliko wao' (Sura Bani Israil, 17:6) hapo Imam Ali a.s. alisema: Humo kuna baadhi ya mabashiri na dalili. Kwanza ni kule kuzingirwa na kutekwa kwa mji wa Kufa.

Kutachimbwa mahandaki kuuzunguka mji kwa sababu ya khofu ya maadui. Kutachomwa au kuchanwa mabendera katika mitaa ya mji wa KufaError: Reference source not found. Msikiti Mkuu wa Kufa utabakia tupu kwa siku arobaini kwa sababu hakutakuwapo na mtu wa kuja kusali humo. Wakristo watakuwa na nguvu katika maeneo hayo. Kutapeperushwa kwa mabendera tatu kwa pamoja. Kutamwagika damuError: Reference source not found kwa wingi mno ambamo muuaji na aliyeuawa wote wataingia motoni Jahannam. Mcha-Mungu pamoja na watu sabini watauawa katika kitongoji cha Msikiti wa Kufa. Huko MakkahError: Reference source not found, baina ya Rukn na Maqam atakuja kuuawa mcha -Mungu mwingine. 2
Imam Ali A.S. Aelezea Ubashiri Kumi
1. Katika mitaa ya mji wa KufaError: Reference source not found, kutapeperushwa benderaError: Reference source not found nyingi mbalimbali

2. MisikitiError: Reference source not found haitatumika vile ipasavyo

3. Zitafungwa kila njia zielekeazo kwenda HijjaError: Reference source not found (kwa kila mbinu)

4. Kuzama kwa ardhi huko Khorasan

5. Watu watakuwa wakibadili makazi na maishio yao (watahamahama ovyo ) kwa sababu ya vita na machafuko kila mahala

6. Nyota zenye mikia zitakuwa zikionekana

7. Baadhi ya nyotaError: Reference source not found zitakutanika mahala pamoja

8. Kutatokea na umwagaji wa damuError: Reference source not found kwa wingi na kila upande

9. Mauaji na maangamizi yatatokea kwa kupindukia kiasi

10. Tawala za kikatili na kutisha zitawaghalibu watu kila mahala. Kuna mshangao kwa kila ubashiri na baada ya kutokea kwao Al-Qaim wetu atadhihiri. "
Theluthi Mbili za Binadamu wa Dunia Wataangamizwa
Imerekodiwa katika Oqdatud-Durr kuwa Imam Ali a.s. amesema: “Al- MahdiError: Reference source not found a.s. hatadhihiri hadi hapo theluthi moja ya watu wa dunia hii hawatauawa na theluthi ya pili hawatakufa kwa mauti. Kwa hivyo kutakuwa kumebakia theluthi moja tu walio hai!"
Iran
Imam Husain a.s. ameripotiwa akisema kuwa kutatokezea vita vya makundi mbalimbali katika IranError: Reference source not found na maelfu ya watu watauawa.
Kupatwa kwa Mwezi na Jua
"Kinyume na desturi ya kupatwa kwa mwezi na jua katika mwezi mmoja, kutatokezea kupatwa kwa mwezi tarehe 5 ya mwezi na kutapatwa kwa jua mnamo tarehe 15 ya mwezi huo huo. Jambo kama hilo halijawahi kutokezea kamwe tangia Mtume Adam a. s " Hayo yameripotiwa yakisemwa na Imam Muhammad al-Baquir a.s.
Mitetemeko ya Ardhi
Imam Muhammad al-Baquir a.s. amesema: “al-Qaim a.s. hatadhihiri hadi:

1. Dunia nzima kukumbwa na woga na khofu.

2. Kutakuwa na mitetemeko mingi na watu watakuwa wamejawa kwa woga

3. Kutatokea na kuzagaa kwa magonjwa yenye kuuwa kwa wingi

4. Kutazuka vita vikali mno miongoni mwa Waarabu

5. Kutazuka tabia ya watu kuzozana mno

6. Dini itakuwa dhaifu

7. Hali za jamii zitakuwa mbaya mno kiasi kwamba watu watakuwa wakiomba mauti kila usiku na mchana.
Mahdi Wazushi
Imam Jaafer as-Sadiq a.s. amesema: "Kutatokea wazushi kumi na wawili watakaojiita MahdiError: Reference source not found, kabla ya kudhihiri al-Mahdi wa kweli. "
Siku ya Waarabu Katika Mji wa Kufa
Imam Jaafer Sadiq a.s. siku moja alipokuwa akimwambia kijana mmoja huko KufaError: Reference source not found: "Katika mji wenu wa Kufa, karibu na Msikiti, watu wapatao elfu nne wa kabila la Saabun watauawa na Lango la Tembo katika Siku ya Waarabu.
(3). Ubashiri Wa Lazima
Mabashiri haya yatatokea kwa lazima kabla ya kudhihiri kwa Al Qaim a.s. Katika kitabu hiki ninawakusanyieni baadhi tu, hivyo msomaji mwenye shauku zaidi anaweza kutafuta katika vitabu vingine vya Kiarabu, Kiajemi n. k.
Uasi wa Sufiani
Mtu mwovu mwenye sura isiyopendeza na yenye kuchukiza, mwenye macho - paka na makengeza kutoka kabila la Bani Umayya aitwaye Uthmaan bin Utba au Ushba ataongoza uasi karibu na PalestinaError: Reference source not found. Uasi wake utatokezea baada ya vita vikuu vya dunia. Jeshi lake litakuwa katili mno na wenye kiu cha damuError: Reference source not found. Kiasi cha Wayahudi elfu sabini watajiunga naye. Wanajeshi wake wote watakuwa wanaharamu. Udhihiri wa al-MahdiError: Reference source not found a.s. utakuwa katika miaka hiyo hiyo. SufianiError: Reference source not found atatawala takriban Bara la Arabia zima kwa vitisho na maangamizo. MadinaError: Reference source not found, SyriaError: Reference source not found na IraqError: Reference source not found vitateketezwa. Baada ya hapo yeye atajitayarisha kwa ajili yaMakkahError: Reference source not found. Mahala pamoja panapoitwa Beda, katika jangwa la Madina, ardhi itapasuka na Sufiani pamoja na jeshi lake zima litatumbukia humo na kuangamia.
Sauti Kutoka Mbinguni
Tarehe 23 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, usiku wa Alhamisi, kabla ya Alfajiri, kutasikika sauti moja kubwa mno. Itamfikia kila mtu popote pale alipo na ataielewa. Sauti hiyo nzuri kabisa itakuwa ni ya Bwana JibrailError: Reference source not found a.s. ikitangaza ubashiri mwema wa kudhihiri kwa Al-MahdiError: Reference source not found a.s. Hapo baadaye katika saa za mchana kutasikika sauti nyingine kama hiyo, nayo itakuwa ni sauti ya Ibilisi. Sauti ya kufanana itatosheleza kuwapotosha watu. 3
Kupatwa Kwingi Kwa Jua na Mwezi
Kwa mara ya kwanza yatatokea katika nchi za Mashariki, baadaye katika nchi za Magharibi na baadaye katika bara la Bara la Arabia

Katika baadhi ya riwaya kumeripotiwa kwa mitetemeko ya ardhi yatatokea katika taratibu hizo katika mwaka mmoja. Allah swt ndiye mwenye kujua zaidi!
Kuchomoza Jua Kutoka Magharibi
Baadhi ya wana-Hadith wanasema kuwa hiyo ndiyo dalili mojawapo ya Siku ya Qayama. Kwa kufanyia utafiti zaidi tumeweza kujua kuwa jua litabakia kati kati saa za asubuhi mbele ya macho ya wakazi wa dunia na itabakia hivyo hadi wakati wa mchana na itaanza kupanda kama kwamba inaanza kuchomoza kutokea Magharibi. Kwa hakika ubashiri huu ni mgumu kuusadiki. Katika mabadiliko hayo ya utaratibu wa jua kunaweza kuleta maafaError: Reference source not found na mabadiliko makubwa mno. Ingawaje mimi si bingwa katika mambo ya mahesabu, lakini ni kama wataalamu walivyosema. Lakini hii itatokea kama ni ubashiri wa mwisho.
Dajjal
Ni neno la Kiarabu likimaanisha mhaini mkubwa na mleta balaaError: Reference source not found kubwa mno. Hivyo wale wote walio wahaini na waleta balaa basi wajijue kuwa wao pia na ma-DajjalError: Reference source not found wa zama zetu hizi. Lakini Dajjal anayezungumziwa hapa ni yule ambaye anaitwa Sayyid na utambulisho wake ni Dajjal. Yeye atakuwa ni mchawi mkubwa. Hapo mwanzoni atakapojitokeza atadai kuwa yeye ni mtume na baadaye atajiita kuwa yeye ni mungu. Yeye atatokezea pale ambapo Mashariki ya Kati itakuwa imekwisha dhoofika kwa sababu ya ukame utakaodumu kwa miaka mitatu kwa mfululizo. Katika mwaka wa tatu kutakuwa hakuna dalili ya majani na hakutakuwapo na mvuaError: Reference source not found kabisa. Hili jitu lenye jicho moja litakuwa na urefu wa mita ishirini. Jicho lake la kulia litakuwa halifanyi kazi na litakuwa kama donge la nyama nyekundu. Jicho lake la kushoto litawaka kutokea paji la uso. Yeye atakuwa akimwendesha punda mwekundu, mwenye manywele ambaye miguu yake itakuwa mieusi kutokea mifupa ya juu hadi magoti na nyeupe kutokea magoti hadi makwata. Kutasikika sauti ya muziki kutokea nywele zake na za punda wake.

Watu wanyonge, wanawakeError: Reference source not found, Mabedui wa Kiarabu na Kiyahudi watamtii na kumfuata. DajjalError: Reference source not found mwenyewe atakuwa Myahudi wa asili ya ukoo wa Qutama na kwa kutokana na udugu wa Abu Yusuf. Kwa hakika watu watamkubalia kama mtume (ingawaje atakuwa ni mzushi).

Kwa kupatiwa msaada wa wanajeshi sabini elfu wa Kiyahudi na wenye silaha na matayarisho yote, yeye ataeneza kila mahala hali ya dhuluma na uoga. Mioyo ya watu itajawa kwa khofu na hatari. Wakati huo, JerusalemuError: Reference source not found ndio itakapokuwa mahala pa usalama kwa sababu Mtume Issa a.s. atateremkia. Imam MahdiError: Reference source not found a.s. atafika hapo pia. Hapo kutatokea vita vikali na Mtume Issa a.s. atamwua DajjalError: Reference source not found. WayahudiError: Reference source not found wataangamizwa. Ulaji wa nyama ya nguruwe utaachwa. Hakutakuwapo na alama za MsalabaError: Reference source not found. Na hapo kutakuwapo na Dini moja tu duniani -- ISLAM.

Mapokezi yafuatayo yametolewa kutoka Kitabu cha Kamal-ud-Din ambamo Muhammad Ibn Ibrahim anarikodi kama Hadith sahihi iliyopokelewa na Ibn Sabra,anayesema:

"Wakati mmoja Imam Amir-al-Mominiin Ali ibn Abi Talib a.s. alituambia hivi:

Sifa zote ni za Allah swt na Salaam ziwe juu yake Mtume Mtukufu s.a.w.w , na baadaye aliendelea kusema: "Niulizeni kile mukitakacho. . . "

Saasaan ibn Suhan aliinuka na kuuliza "Ewe Mawla wetu! Naomba utuambie ni lini atakapotokezea DajjalError: Reference source not found.

Imam Ali a. s alimwambia aketi na kumjibu. Saasan aliketi na Imam Ali a.s. alianza kuelezea:

"Allah swt amekusikiliza na anajua kile ukitakacho. Zitapita dalili moja baada ya nyingine. Je niwaambieni ?"

Watu waliokuwapo walisema: "Naam tunaomba hivyo, Ewe Abul Hasan ! "

Imam Ali ibn Abi Talib a.s. alianza kuelezea: "Kumbukeni kuwa kabla ya kuja kwake,

(1) watu watakuwa wakiiona Sala kama jambo hafifu kabisa.
(2) Amana zitakuwa zikichukuliwa kiwizi
(3) Kusema uongo ndio itakuwa ikichukuliwa kuwa sahihi
(4) Waislamu wataanza kuchukua ribaError: Reference source not found
(5) Rushwa itakuwa ni jambo la kawaida
(6) Majumba makubwa makubwa na ya fakhari yatakuwa yakijengwa
(7) Dini itauzwa kwa matakwa ya dunia
(8) Watu watawafanya waovu na hakiri kuwa watawala au viongozi wao 4
(9) Wanaume watawataka wanawakeError: Reference source not found ushauri na uongozi
(10) Hakutapatikana huruma kokote pale, dunia itakuwa imejaa kwa udhalimu
(11) Utumwa utakuwa ni jambo la kawaida 5
(12) Mauaji na umwagaji wa damuError: Reference source not found utachukuliwa kama jambo la kawaida na ubabe
(13) Watu wenye elimu watakuwa wadhaifu na wadhalimu watakuwa wenye nguvu.
(14). Watawala watakuwa watu waovu na Mawaziri wao watakuwa wadhalimu
(15) Wasufi na wasomaji wa QuranError: Reference source not found watakuwa wapumbavu
(16) Kutakuwa kukitolewa ushahidi wa kughushiwa
(17) Quran Tukufu itakuwa ikirembeshwa kwa nyuzi za dhahabu
(18) MisikitiError: Reference source not found itakuwa ikijengewa minara mirefu
(19) Watu waovu watakuwa wakiheshimwa
(20) Idadi ya watu itaongezeka lakini wakiikhtilafiana baina yao
(21) Ahadi na mikataba itakuwa ikivunjwa kila hapa na pale
(22) Wanawake watakuwa wakishirikiana pamoja na wanaumeError: Reference source not found wao kwa uroho wa mali
(23) Sauti za Wakomunisti na wapingamizi wa Dini zitakuwa zina nguvu sana.
(24). Nao watakuwa wakisikilizwa na kila mtu
(25). Viongozi wa Jum